Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daemushin: anyupdate kuhusu Timber and analysis?
mpaka muda huu hakuna taarifa yoyote kubwa. Timber atakupa option ya kucheza nafasi mbili hadi tatu kwa kiwango cha juu nazo ni RB, CB na DM. Endapo eric bailly na wan bissaka watapata timu na kuondoka basi jurrien timber atatosha kuziba nafasi za hao wawili.
 
Juan Mata
Phil Jones
Aron Bissaka
Jesse Lingard
Edson Cavani
Nemanja Matic
Paul Pogba

Confirmed wanaondoka United.
juan mata anaweza kupewa mkataba mpya, nimevutiwa na mahojiano yake aliyoyafanya ndani yake amezungumza mambo mazito sana kwa lugha ya kiutu uzima. Structure ya manchester united ipo mahututi.
 
LA LIGA wameishitaki PSG kuhusiana na kylian mbappe. haya ndio madhara ya kutegemea nguvu ya mchezaji ndio ibebe ligi husika kiushawishi. la liga wanakwama wapi
img_1_1653158794362.jpg
 
Conference inawaita kwa sauti kuu

Viva crystal palace viva zaha

 
Dah hii timu itakuja huwa watu hii yani watu walikuwa wana hali mbaya kweli kweli watu walikosa amani kabisa

Leo watu hawa amini kama inacheza anyway

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
 
Dah hii timu itakuja huwa watu hii yani watu walikuwa wana hali mbaya kweli kweli watu walikosa amani kabisa

Leo watu hawa amini kama inacheza anyway

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
Wale wanajeshi 2500 wa Ukraine waliojisalimisha juzi kwa jeshi la Urusi moja ya sharti lao kabla ya kujisalimisha ilikua ni kuruhusiwa waone mechi ya mwisho ya manchester united vs Crystal Palace.
 
Back
Top Bottom