Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 940
- 1,123
Kazi yangu ni kusifu na kuponda kwa kutumia jicho langu. Huyu ni pogba ajaye kiufundiView attachment 2227435
Talent zinazosubir mwalimu anayejiamin
Kazi yangu ni kusifu na kuponda kwa kutumia jicho langu. Huyu ni pogba ajaye kiufundiView attachment 2227435
Jombaa WC mwaka huu ipo mwezi wa 12.Usijali sana mwaka huu hatuishi kiunyonge, muda mfupi tu baada EPL kuisha unaanza mchaka mchaka wa World Cup, kama kawaida tunaendelea kuwaona kina Maguire.
Mpaka kombe la dunia linaisha ligi kuu nayo inakua imekaribia kuanza.
Tunapumzika mwezi mmoja tu. Mwezi wa 7 pre-season inaanza.Daah ndo tunaenda pata furaha ya mwisho wiki hii ndo itakuwa basi mpaka msimu ujao
Jombaa WC mwaka huu ipo mwezi wa 12.
Mbona ameshaanza mipango?Aje haraka sana. Tuanze mipango.
Ila msimu huu mmepokea 4g nyingi mnoo sasa cjui hyo furaha mnaitolea wapiDaah ndo tunaenda pata furaha ya mwisho wiki hii ndo itakuwa basi mpaka msimu ujao
Dah we ni shitUtakuwa na unauelewa mdogo sana wa masuala ya mpira na michezo kwa ujumla. Si kwa ubaya hufahamu unachokizungumza.
Mchezo wowote ule wa ushindani kadri unavyozidi kukaa muda mrefu bila kucheza mchezo wa ushindani unakuwa ktk mazingira hatari zaidi.
Ukiwa unafanya training kila siku na wachezaji wale wale mnakuwa na maelekezo yale yale ya aina moja. Ni tofauti kabisa ukicheza na watu wenye maelekezo tofauti na wewe (timu pinzani). Kuna ssb kwa nn kila wiki unapaswa kucheza mechi na sio baada ya wiki 2.
Hahaha.... Lokonga jina kama Elanga!!Ile timu bado Sana kucheza uefa, eti wanamchezaji anaitwa lokonga jina kaa mizizi ya dawa halafu wanataka UEFA kweli..?!! Huu siyo uungwana kabisa
Kwanini kombe la dunia mwaka huu limewekwa November uko wakati tushazoea Ni mweiz wa sita/saana HIV?
Kwanini kombe la dunia mwaka huu limewekwa November uko wakati tushazoea Ni mweiz wa sita/saana HIV?
Aaha kweli aise kule arabun unaeza Shani uko motoni maaana iyo jua inakuwa Kama imeshushwa iv kidogo hhahhahaNasikia ni hali ya hewa, inasemekana mwezi June na July Qatar kuna joto balaa.
Kwa hiyo ligi zitasimama?Aaha kweli aise kule arabun unaeza Shani uko motoni maaana iyo jua inakuwa Kama imeshushwa iv kidogo hhahhaha
Yah kuna wezekano ligi zikasimama mkuu.Kwa hiyo ligi zitasimama?
Vipi kuhusu mapumziko ya wachezaji
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Daaaahhh wanazingua sana, yaani tutakaa miezi 3 bila ya kumuona Maguire uwanjani?Kombe la dunia mwaka huu linaanza November 21.
Dogo dogo dogoJurrien Timber nimemuelewa..ila kimo kidogo nina wasiwasi.