Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,241
Dogo tena?..Dogo dogo dogo
Nimekuita mara 3
Dogo tena?..Dogo dogo dogo
Nimekuita mara 3
Nilikuambia unitafuteDogo tena?..
Bora ku-block source zote za habari za United. Inakera halafu utashangaa wachezaji wanaokuja ni tofauti na tunaowaona kwenye tetesi.Yaani sisi kutetesi tu hajunA signing why
Yaani ukiwa masikini nzi huwa rafiki yako.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Hahahaha sare za madiwani hizi haha😂😂😂hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Iyo sio sare zenyewe hizi za majizi wa china wanajitolea tu mafashion ya hovyo hovyo.Hahahaha sare za madiwani hizi haha
Wachina hao, hiyo jezi ina-trend bongo tu. Jezi rasmi zitakuwa nyekundu, nyeupe na kijani na picha zilishavuja wachezaji wakiwa wamevaa.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Adidas wanataka kuwafaliji mashabiki wa Man u, baada ya kumaliza league mikono mitupu wameamua kuwapa zawadi ya maua ya waridi.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795