Adjustments.jpg
 
Yaani sisi kutetesi tu hajunA signing why
Bora ku-block source zote za habari za United. Inakera halafu utashangaa wachezaji wanaokuja ni tofauti na tunaowaona kwenye tetesi.

Yani so far there's nothing good being a United fan, timu haichezi vizuri, hatusajili wachezaji wazuri, wachezaji waliopita wanakatisha tamaa yani hata akija mchezaji mpya tayari unakuwa na doubt huenda naye atafeli.

Yani kwa kifupi Manchester United gives negative vibes.
 
Hivi ni kweli tulikuwa tunajuhudi binafsi au tuliachiwa kushinda even extra minutes??Ilikuwa mbinu ya kocha au nani anaweza rejesha hii vibe!???
Screenshot_20220520-104336.jpg
 
Back
Top Bottom