Bora ku-block source zote za habari za United. Inakera halafu utashangaa wachezaji wanaokuja ni tofauti na tunaowaona kwenye tetesi.Yaani sisi kutetesi tu hajunA signing why
Yaani ukiwa masikini nzi huwa rafiki yako.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Hahahaha sare za madiwani hizi haha😂😂😂hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Iyo sio sare zenyewe hizi za majizi wa china wanajitolea tu mafashion ya hovyo hovyo.Hahahaha sare za madiwani hizi haha[emoji23][emoji23][emoji23]
Wachina hao, hiyo jezi ina-trend bongo tu. Jezi rasmi zitakuwa nyekundu, nyeupe na kijani na picha zilishavuja wachezaji wakiwa wamevaa.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
Adidas wanataka kuwafaliji mashabiki wa Man u, baada ya kumaliza league mikono mitupu wameamua kuwapa zawadi ya maua ya waridi.hawa nao sasa au za wachina hizi jezi wanataka wakina OllaChuga Oc Pain killer watutaftie majina mengine nini.View attachment 2231795
mpaka muda huu hakuna taarifa yoyote kubwa. Timber atakupa option ya kucheza nafasi mbili hadi tatu kwa kiwango cha juu nazo ni RB, CB na DM. Endapo eric bailly na wan bissaka watapata timu na kuondoka basi jurrien timber atatosha kuziba nafasi za hao wawili.Daemushin: anyupdate kuhusu Timber and analysis?
juan mata anaweza kupewa mkataba mpya, nimevutiwa na mahojiano yake aliyoyafanya ndani yake amezungumza mambo mazito sana kwa lugha ya kiutu uzima. Structure ya manchester united ipo mahututi.Juan Mata
Phil Jones
Aron Bissaka
Jesse Lingard
Edson Cavani
Nemanja Matic
Paul Pogba
Confirmed wanaondoka United.