Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20220428-074428.jpg
harrymaguirre anawakati mgumu Sana
 
Rangnick: “We will try to play the best possible team of the players that are available. We have 14 of our first-team available, without the youngsters. Probably three or four of those young players will be in the squad.”
Umejiandaa nikupige goals ngapi
 
Siku ya furaha ni leo wakati wa furaha umefika

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction Manchester 2 chelsea 0
Dunia yote leo imejaa tabasamu,
Nimekatiza maeneo ya kigogo na jangwani naona watu wote wako na nyuso za furaha kinoma, nikapata mashaka kidogo nikawauliza nyie vipi mbona mko na furaha namna hii wakati nyumba zenu zinasombwa na maji?
Dogo mmoja ndio akanidokeza kua leo Manchester United ipo uwanjani ndio maana kitaa kuna shangwe kama lote.

allypipi naomba hio mambo ya Prediction uachane nayo kwa sasa, maana tokea umeanza kupredict matokeo yanakuja vice versa
 
Dunia yote leo imejaa tabasamu,
Nimekatiza maeneo ya kigogo na jangwani naona watu wote wako na nyuso za furaha kinoma, nikapata mashaka kidogo nikawauliza nyie vipi mbona mko na furaha namna hii wakati nyumba zenu zinasombwa na maji?
Dogo mmoja ndio akanidokeza kua leo Manchester United ipo uwanjani ndio maana kitaa kuna shangwe kama lote.

allypipi naomba hio mambo ya Prediction uachane nayo kwa sasa, maana tokea umeanza kupredict matokeo yanakuja vice versa
🤣🤣🤣🤣
 
Dunia yote leo imejaa tabasamu,
Nimekatiza maeneo ya kigogo na jangwani naona watu wote wako na nyuso za furaha kinoma, nikapata mashaka kidogo nikawauliza nyie vipi mbona mko na furaha namna hii wakati nyumba zenu zinasombwa na maji?
Dogo mmoja ndio akanidokeza kua leo Manchester United ipo uwanjani ndio maana kitaa kuna shangwe kama lote.

allypipi naomba hio mambo ya Prediction uachane nayo kwa sasa, maana tokea umeanza kupredict matokeo yanakuja vice versa
Nakubali😅😅😅
 
Dunia yote leo imejaa tabasamu,
Nimekatiza maeneo ya kigogo na jangwani naona watu wote wako na nyuso za furaha kinoma, nikapata mashaka kidogo nikawauliza nyie vipi mbona mko na furaha namna hii wakati nyumba zenu zinasombwa na maji?
Dogo mmoja ndio akanidokeza kua leo Manchester United ipo uwanjani ndio maana kitaa kuna shangwe kama lote.

allypipi naomba hio mambo ya Prediction uachane nayo kwa sasa, maana tokea umeanza kupredict matokeo yanakuja vice versa
Mkuu cheltako leo atoboi.
 
crystal palace wameonyesha nia ya kutaka kumsajili aron wan bissaka. Hawa wahuni walituuzia kwa paundi million 50, unadhani thamani ya wan bissaka wa sasa ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom