kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,804
naangalia hii mechi kwa sababu ya substution list niliyoiona hapo, otherwise it could have been time wastage
naangalia hii mechi kwa sababu ya substution list niliyoiona hapo, otherwise it could have been time wastage
Kocha anakipenda hiki ki Elanga cjui anaona nn.
Hahaha 😂 Boss nakuona, hako ka feeling unakosikia Elanga akipangwa ndiko tunakasikia Ronaldo akipangwa alafu apigwe sub analalamika.Kocha anakipenda hiki ki Elanga cjui anaona nn.
Kocha anakipenda hiki ki Elanga cjui anaona nn.
Sasa huyu Ralph c atakuwa mshauri benchi la ufundi la man u?kuna uwezekano ralf rangnick akatangazwa kuwa kocha mpya wa taifa la AUSTRIA. Ngoja tusubirie hapo kesho FA ya austria itamtangaza kocha yupi, wiki 3 zilizopita FA ya austria ilikanusha habari za kufanya mazungumzo na ralf rangnick lakini kuna chombo habari kimefufua upya uvumi huo mchana wa leo.
Kweli kabisa.Dk yav15 haifiki tunapigwa goli
Ss Ronaldo unampiga sub alafu aingie nani? Lingard au?HahahaBoss nakuona, hako ka feeling unakosikia Elanga akipangwa ndiko tunakasikia Ronaldo akipangwa alafu apigwe sub analalamika.
Anyway namuombea Ronaldo amtulize chelwowo, haiwezekani Arsenal, Liverpool, Man city, watujazie nzi humu.

Lets focus katika game yetu ijayo usiku wa leo na As Roma. Mimi nafikiri Fergie aweke formation ya 4-5-1, kwasababu ni away game na awa jamaa watakuwa na usongo sana na sisi. Kikosi kama kama;
Gone are the days
1; Van Der Sar (mdoli)
2;Brown (mtoto wa mbwa)
3;Evra (mtoto wa manzese)
4;Vidic (waziri wa ulinzi)
5;Rio (teja,baba mwenye nyumba)
6;carrick (mzee wa rula)
7;ronaldo (software)
8;scholes (zeruzeru)
9;Runi (tyson,mbogo,hardware 1)
10;owen(hardware 2)
11;Giggs (womanizer,mzee wa kukimbiza) Sio tu history itatulinda bali pia tupo JUU!!, waleteeeeeeee!!
Nimesahau benchi; Tevez (simba mtu), Oshe'a (mpare),kusczkak(kinyani),pique,ander(lucky dube)
Ndo kachezaji pekee kanaonesha uhaiKocha anakipenda hiki ki Elanga cjui anaona nn.