Hakuna hiyo, mjenge timu ipi? Nyinyi pamoja na Ronaldo wenu mtaenda kucheza conference league.. kwisha habari!Tumestahili kuwa hapa tulipo...bora tusiwe kwenye mashindano yyte nje ya England msimu ujao,maana huu msimu kwetu sisi umekwisha tushapoteza,kilichobaki ni kujenga timu tu.
Sawa Kama ww ndo kocha wa timu...Hakuna hiyo, mjenge timu ipi? Nyinyi pamoja na Ronaldo wenu mtaenda kucheza conference league.. kwisha habari!
Alaumiwe Arteta tuAcheni kumsingizia Magure nazani leo mmeona.
Alafu ni shoga kumbe uyo kochaKila siku wachezaji walewale na wanatoa output ileile. Kwanini wasipewe nafasi hata wale vijana kina Mejbri, Gernacho nk, kocha ana maneno mengi kuliko vitendo
Baina yao hakuna hata mmoja mwenye skills mguuni isipokuwa mmoja ana mambio mbio yasiyokuwa na impact yoyote uwanjani.Mkuu Chief-Mkwawa kwahiyo wakiwekwa sokoni Mane na Rashford yupi atakuwa na soko la haraka na la bei nzuri kati yao?
Kusema ukweli binafsi haya mambo ya takwimu kulinganisha ubora baina ya wachezaji sio muumini sana maana yanadanganya kwa kiasi fulani.
Kuna msemo mmoja wa Pep kwamba kuna wachezaji huwa hawana takwimu nzuri kwenye G/A lakini ndio hufanya timu icheze vizuri. Sasa kwa Rashford unapata ladha kinyume na hii kabisa.
Tofauti ya Rashford na Martial ni kwamba: mmoja ana mbio akiwa na mpira mguuni wakati mwingine ana skills nzuri akiwa na mpira mguuni. Ila wote ni wavivu wanaojiona mastaa.
Baina yao hakuna hata mmoja mwenye skills mguuni isipokuwa mmoja ana mambio mbio yasiyokuwa na impact yoyote uwanjani.











