Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hio Logic unayoleta haina mantiki, kwa hio Scholes, Giggs, Neville, na wengineo walikuwa ni wachezaji wabaya? Sababu timu yenye Hadhi ni Man united?

Ni ngumu sana Mchezaji mzuri wa Academy kutoka Club yake unless kuwe na Zengwe.

Na Mkuu kwenye Mpira kuna falsafa kila Kocha na mbinu zake, Pep hakuwezana na Ibra Alikaa sana Benchi, Ibra ni Mchezaji mbaya? Mou na kaka, Pep na Ronaldinho, Mou na Shevchenko na wengine wengi tu.

Msimu uliopita Rashford kacheza mechi 37 epl na mechi 6 UCL kamiss mechi 1 tu unasemaje anakaa bench? Kwenye mifumo ambayo yeye ni. Muhimu kama wakati wa Ole sijamuona akikaa Bench, hata miaka 25 hajafika Tayari anamechi karibia 300.
Hii spinning uliyoifanya hapa chief naona umeniacha
 
2020/2021

Mane 48 Rashford 57

Mane 16 rashford 21


Mane 9 Rash 15



Mane 1.7 Epl na 0.4 UCL average 1.05
Rash 1.2 Epl na 1 UCL averga 1.1


Probably less than one kwa wote

Mane epl 2.7 na ucl 1.7 average 2.2
Rash epl 2.1 na ucl 2.1 average 2.1
(hapa inavunja hoja yako kwamba Rash anahitaji kupiga mashuti mengi kufunga, infact amepiga machache na kufunga goli nyingi compare na Mane aliepiga mengi na kufunga machache)



Mane epl 2.3 na UCL 1.2 average 1.75
Rash epl 2.2 na Ucl 2.7 average 4.45

Ukisort per min Goals
232 per goal Rash 197

Haya Soma hizo data Niambie last season Nani alikua Bora.

Rash was better
 
Msimu wa Juzi na msimu wa Jana Rashford anafunga Goli 20+ kwenye msimu na Kutoa Assist 10+ zaidi Goal comtribution 30. Misimu yote miwili Aliwazidi wachezaji kibao ikiwemo kina Mane
Mkuu Chief-Mkwawa kwahiyo wakiwekwa sokoni Mane na Rashford yupi atakuwa na soko la haraka na la bei nzuri kati yao?

Kusema ukweli binafsi haya mambo ya takwimu kulinganisha ubora baina ya wachezaji sio muumini sana maana yanadanganya kwa kiasi fulani.
Kuna msemo mmoja wa Pep kwamba kuna wachezaji huwa hawana takwimu nzuri kwenye G/A lakini ndio hufanya timu icheze vizuri. Sasa kwa Rashford unapata ladha kinyume na hii kabisa.

Tofauti ya Rashford na Martial ni kwamba: mmoja ana mbio akiwa na mpira mguuni wakati mwingine ana skills nzuri akiwa na mpira mguuni. Ila wote ni wavivu wanaojiona mastaa.
 
Kosi la leo kama lakiushindi ushindi vile.
GGM
Screenshot_20220423-124055.jpg
 
Leo Ronaldo kishipa nimemuweka na muhuni wa kibrazili Gabriel mwamposa..

Najua mtasingizia kuwa katoka msibani😁
 
Rash was better
Ja Mane msimu uliopita uliona mashabiki wa Liverpool wakisema auzwe na hana maana? Hapana. Na mwaka huu anakiwasha so far amekuwa shortlisted kwenye Baloon D or ahead of salah.

Hivyo na mimi nipo hivyo hivyo sababu Rashford msimu huu Hajaclick haimaanishi ni mchezaji mbovu kwa miaka ameprove ni reliable player upande wetu wa kushoto.
 
Back
Top Bottom