Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pakiti nzima imekatikia ghettoni😆

Mna bahati sijafungua pakiti nyengine kama nilivyowafanyia Chelsea.
 
Japo timu mbovu ila naona De gea ana kismart sana yeye anaongoza karibia kila mechi anaruhusu mabao zaidi ya mawili ila hapewi lawama kabisa wala kuwekwa benchi.
 
Sasa analaumiwa Bruno kutokumwachia CR7 kupiga penati sasa hata angefunga ndo mgeshindaa?
IMG_20220423_164439.jpg
 
Kwa hiki kichapo tuliochezea li Maguire linacheka kimoyomoyo halafu linasema "kiko wapi sasa, mnajitahidi kuruka mkojo halafu mnaenda kukanyaga nnya
Ralf Ralgnic sio kocha ni msemaji wa timu, sioni tofauti yoyote kati yake na Haji Manara.
 
Back
Top Bottom