Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Uchu alionao Ronaldo leo atapata pia hat-trick
Unawasha
Uchu alionao Ronaldo leo atapata pia hat-trick
Unafanya nini kwenye hili group?utapata heart attackUchu alionao Ronaldo leo atapata pia hat-trick



Tupeni matokeo tuko mbali....
Ujinga sana. Bora hata MaticUnampaje mtu kucheza penati... Wakaji anacheza akiwa na panic kiasi hicho
Sasa Rashford ame mature?Dogo ile sio bahati. Anajituma Sana na uwezo anao. Bado anasumbuliwa na utoto. Kadri siku zimavyoenda atamature, hata Rashford alianza hivi
Bruno toka Ronaldo aje hajielewi, Wangempa tu Ronaldo ili kuwapa Arsenal wakati mgumu. Ona sasa Bruno kachoma Mpaka Goli la tatuNiulihisi Bruno atakosa, shit. Kwa nini Ronaldo asiwe anapiga