Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal sasa naona wanapendelewa tu na marefarii
Watu wamesukumana kwenye makalio halafu unatoa penalti
Handball ya wazi kwa ule mpira wa Sancho VAR wakareview harakaharaka wakapotezea
Lembua upo?
 
Elanga anawaza penalty badala ya kufunga.
Yaani litimu limekua la kipuuzi wanashirikiana kati wakifika golini aliyewahi na mpira anawaza kupiga bila kujali Angle.

Hii match ni muhimu kwa ushirikiano wa wachezaji pale mbele, haijalishi nani aliye angle nzuri mpe, tufufue sprits na kuwatia uoga wapinzani.
 
Dalot asee bora WAN BISSAKA maana kwa kuwa mbele kila mtu anawaza kufunga au penati bora tuwe na ulinzi wa kueleweka
 
Unafiki pembeni.

Hongera CR7 Kwa kufikisha 100 PL goals in Manchester United.
 
Magoli yote mawili Alex Telles amehusika
La kwanza alicheza msondo ngoma mpira alikuwa na uwezo wa kuuondoa akauacha umfikie Saka
Goli la pili alikuwa anacheza disco na Saka tena refa katoa penalti
 
Elanga alivyosukumwa na Saka alivyosukumwa kuna any difference maana wote wamelose balance, why penalti?

Mpira wa Cedric kurudiswa na mkono refa anajifanya haoni
 
Magoli yote mawili Alex Telles amehusika
La kwanza alicheza msondo ngoma mpira alikuwa na uwezo wa kuuondoa akauacha umfikie Saka
Goli la pili alikuwa anacheza disco na Saka tena refa katoa penalti
Varane bila shaka, la kwanza maana Telles alijua Varane ataclear mara paap blunder
 
Itabidi tupate kocha wa mabeki mzuri anayejua kuwapanga postioning na offside trap.

Offside trap unakuta wako watatu MAGUIRE lipo limevunja, au Telles, au Dalot, duh
 
Elanga alivyosukumwa na Saka alivyosukumwa kuna any difference maana wote wamelose balance, why penalti?

Mpira wa Cedric kurudiswa na mkono refa anajifanya haoni
Refa kavu Sana. Sema hii mechi sio ngumu kwetu. Tukiwa serious tunashinda
 
Arsenal sasa naona wanapendelewa tu na marefarii
Watu wamesukumana kwenye makalio halafu unatoa penalti
Handball ya wazi kwa ule mpira wa Sancho VAR wakareview harakaharaka wakapotezea
Yaani inatia HASIRA
 
Back
Top Bottom