Una Accuse wenzako hawaangalii mpira na hata position anayocheza rashford huijui. Na Rashford si winga wa Asili, winga wa asili ni yule anaetanua width na kutia majaro, Rashford ni inside forward ama ukipenda Wing forward ni Aina za washambuliaji wanaotoka pembeni na kuingia Ndani.
Hakuna hata mmoja uliomtaja anacheza namba ya Rashford, Labda Sancho ambaye nae si kwamba anacheza Namba ya Rashford bali ni versatile pande zote.
Ole alikuwa anacheza 4-2-3-1 na Rashford alikuwa akicheza Kushoto mwa Uwanja, Namba yake alikuwa Akicheza Yeye au Martial ama Pogba sometime.
Na Wote Mbappe na Haaland stats zao zipo inflated na Ligi wanazocheza, Lacazette, Aubameyang, Batshuayi na wengine kibao at some point wamewahi kuwa na Goli za kutosha hizo ligi, ndio maana nikatumia UCL kutoa data Nzuri.
Hao PSG walimtaka Rashford sio mara Moja na Tuchel alibeep sana wakati ule.
Na si kila Kocha Anatumia Mchezaji yoyote kila kocha ana mfumo wake na mbinu zake, Sebastian Haller alikuwa kimeo west Ham anakimbia kimbia tu ila At right system Pale Ajax sasa Hivi Anachuana na Lewandoski na Benzema.
Ragnick mfumo wake alikuwa anacheza 4222 mechi nyingi za mwanzo Bila winga na namba 10 wawili ni Mfumo unaofit Mtu kama sancho zaidi Kuliko Rashford, unataka Technique kuliko pace.