Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Top 10 big careers destroyed by Manchester United:
1. Depay
2. Sanchez
3. Lukaku
4. DiMaria
5. Zaha
6. Zlatan
7. Pogba
8. Falcao
9. Schneiderlin
10. Schweinsteiger

Ten Hag is soon to be included in this list.
His career is finished before the season starts.
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Matt Judge & Darren Fletcher should also leave the club.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kelele za Bwana Rangnick ziko hapa.
Sio kujaza nafasi tu ila nafasi zijazwe na watu wanaojua kuendesha klabu za mpira.
Kumekuwa na ushikaji sana kwenye kupeana kazi pale united na hii ni moja ya sababu tunazidi kushuka kila siku.

Mourtough na Fletcher kwenye nafasi zao za sasa ni ndio wanajifunza kazi.
 
IMG_20220421_200535.jpg
 
Erik ten Hag looks set to win his battle with #mufc to appoint Steve McClaren as one of the two new assistants along with Mitchell van der Gaag. It is now understood McClaren will be appointed.
[@SamWallaceTel]
===========
taarifa zinasema watu wa ndani ya man utd hawataki mcclaren awe msaidizi,
Washaanza kuingilia majukumu ya kocha, wao c wameshafeli? Wamuache kocha aamue hatma yake mwenyewe.
 
Nadhani kelele za Bwana Rangnick ziko hapa.
Sio kujaza nafasi tu ila nafasi zijazwe na watu wanaojua kuendesha klabu za mpira.
Kumekuwa na ushikaji sana kwenye kupeana kazi pale united na hii ni moja ya sababu tunazidi kushuka kila siku.

Mourtough na Fletcher kwenye nafasi zao za sasa ni ndio wanajifunza kazi.
Hapa tunaongea lugha moja Jombaa. Nimekuwa nikisema muda mrefu sana hapa timu yetu watu wanapeana kazi kiushikaji sana toka yule kilaza apewe timu Ed Woodward watu waliokuwa na jicho la mwewe walijua timu kapewa kilaza aendeshe lazima ipoteane na kweli yalitimia.
 
Zaaaaaaa ndaaaaaaaaani ndaaaaaaaani kutoka ndichiiiiiii Maguire yupo kwenye mipango ya Erik Ten Hag so Kapteeeeeeeeni bado yupo.
 
Nadhani kelele za Bwana Rangnick ziko hapa.
Sio kujaza nafasi tu ila nafasi zijazwe na watu wanaojua kuendesha klabu za mpira.
Kumekuwa na ushikaji sana kwenye kupeana kazi pale united na hii ni moja ya sababu tunazidi kushuka kila siku.

Mourtough na Fletcher kwenye nafasi zao za sasa ni ndio wanajifunza kazi.
Murtough ni mzoefu, ana mwaka wa 13 sasa kama Exec wa Timu. 2008 mpaka 2012 Everton, 2013 mpaka 2016 Academy yetu na 2021 akawa Director wetu.

Sihitaji kuelezea CV yake Everton ila kama ni mshabiki wa mpira Everton ya Moyes unaijua walikuwa wananusa top 4 miaka kama yote.

Pia 2013 mpaka 2016 academy si Haba Tumetoa watu wa Kutosha Kina Rashford, Henderson, Greenwood, Mc tominay etc wapo kizazi hiki.

Na toka 2021 ateuliwe mambo mengi yamekuwa smooth usajili wa Varane mzuri kwa Bei tuliompata rahisi, Sancho Ok, Ronaldo Mzuri, Yeye ndie Aliemleta Ragnick, na Ndie Aliemleta Ten Hag.

So far so Good, kwangu, As long as Woodward na Genge lake Hawataingilia Football matters jamaa yupo vizuri.

Na Fletcher nafkiri pia yupo kama link ya Benchi la ufundi na Hao mabwana wakubwa, mambo mengi ameyatolea ufafanuzi na jamaa namuelewa, mfano Msimu huu aliongelea namna tulivyotafuta Kocha wa set piece na ukiangalia mwanzo wa msimu wote hatukuwa tukifungwa kabisa magoli ya Corner na free kick.

Na tumekuwa linked na Technical director mwengine Paul Mitchel, ambaye amefanya kazi Spurs, Rb leipzig (Chini ya Ragnick) na sasa Yupo Monaco, ila spurs alikuwa head of recruiting. Hivyo kwetu anaweza pia kuja kufanya same job maana Tumefukuza viongozi wote wa mascout.

Kifupi mkuu kwa sasa kuna Hope za kutosha, Football people wapo wengi na wengine wanakuja.
 
Erik ten Hag looks set to win his battle with #mufc to appoint Steve McClaren as one of the two new assistants along with Mitchell van der Gaag. It is now understood McClaren will be appointed.
[@SamWallaceTel]
===========
taarifa zinasema watu wa ndani ya man utd hawataki mcclaren awe msaidizi,
Hawa watu wa ndani hawa ndio wanatuletea kina Maguire hawa
 
Murtough ni mzoefu, ana mwaka wa 13 sasa kama Exec wa Timu. 2008 mpaka 2012 Everton, 2013 mpaka 2016 Academy yetu na 2021 akawa Director wetu.

Sihitaji kuelezea CV yake Everton ila kama ni mshabiki wa mpira Everton ya Moyes unaijua walikuwa wananusa top 4 miaka kama yote.

Pia 2013 mpaka 2016 academy si Haba Tumetoa watu wa Kutosha Kina Rashford, Henderson, Greenwood, Mc tominay etc wapo kizazi hiki.

Na toka 2021 ateuliwe mambo mengi yamekuwa smooth usajili wa Varane mzuri kwa Bei tuliompata rahisi, Sancho Ok, Ronaldo Mzuri, Yeye ndie Aliemleta Ragnick, na Ndie Aliemleta Ten Hag.

So far so Good, kwangu, As long as Woodward na Genge lake Hawataingilia Football matters jamaa yupo vizuri.

Na Fletcher nafkiri pia yupo kama link ya Benchi la ufundi na Hao mabwana wakubwa, mambo mengi ameyatolea ufafanuzi na jamaa namuelewa, mfano Msimu huu aliongelea namna tulivyotafuta Kocha wa set piece na ukiangalia mwanzo wa msimu wote hatukuwa tukifungwa kabisa magoli ya Corner na free kick.

Na tumekuwa linked na Technical director mwengine Paul Mitchel, ambaye amefanya kazi Spurs, Rb leipzig (Chini ya Ragnick) na sasa Yupo Monaco, ila spurs alikuwa head of recruiting. Hivyo kwetu anaweza pia kuja kufanya same job maana Tumefukuza viongozi wote wa mascout.

Kifupi mkuu kwa sasa kuna Hope za kutosha, Football people wapo wengi na wengine wanakuja.
Huyu Paul Mitchell ni noma sana.. kina Son, Delle Ali, hata yule mtoto wa Arsenal Emil Smith Rowe alimchukua kwa mkopo toka academy akampeleka RB pale akawasha moto vibaya sana n.k wote mikono yake, nadhani yupo Monaco kwa sasa, nmeona pia ndio anapigiwa chapuo aje.. so far kwakweli mabadiliko yanaanza kuonekana, haitokuwa mwaka 1 au 2 ila tunaenda vizuri
 
Mkuu na wewe unaamini mtasjili wachezaji si chini ya kumi?? Seriously?? Au unajifurahisha tu??
Sasa mimi ni nani nisiamini? Guardiola unajua misimu yake miwili ya mwanzo alileta wangapi na kwa nini uone haiwezekani? Wanaomaliza mikataba si chini ya 6 maana yake hapo wanahitaji replacements na bado kocha ana targets zake anazohitaji kwanini uone haiwezekani? Na hata isipowezekana bado wachezaji watakuja wengi tu hata isipokuwa kwa namba hiyo ila wengi tu watasajiliwa..

Fatilia reliable sources kina Fabrizio Romano wanachosema kuhusu revolution inayokuja kufanywa hapo man u utapata picha
 
Back
Top Bottom