Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lawama lazima, kujenga team sio msimu 1 au 2
Kwa united haihitaji nadharia ya kusibiri miaka kubeba taji, ni mwendo kugombea ubingwa. Take my word

Ikiwa watazingatia beki wa kati(tena awe mlinzi kiongoz)

Box to box middle Thiago akichekecha Sana. Kocha mtaalamu utamjua Kwa namna anavyowatumia wachezaji wake....

Na straiker ambayo atafanya Fuji nyingi ndani na nje kidoogo ya 18

Man UTD inahitaji wachezaji watatu kwanza maeneo hayo matatu
 
Murtough ni mzoefu, ana mwaka wa 13 sasa kama Exec wa Timu. 2008 mpaka 2012 Everton, 2013 mpaka 2016 Academy yetu na 2021 akawa Director wetu.

Sihitaji kuelezea CV yake Everton ila kama ni mshabiki wa mpira Everton ya Moyes unaijua walikuwa wananusa top 4 miaka kama yote.

Pia 2013 mpaka 2016 academy si Haba Tumetoa watu wa Kutosha Kina Rashford, Henderson, Greenwood, Mc tominay etc wapo kizazi hiki.

Na toka 2021 ateuliwe mambo mengi yamekuwa smooth usajili wa Varane mzuri kwa Bei tuliompata rahisi, Sancho Ok, Ronaldo Mzuri, Yeye ndie Aliemleta Ragnick, na Ndie Aliemleta Ten Hag.

So far so Good, kwangu, As long as Woodward na Genge lake Hawataingilia Football matters jamaa yupo vizuri.

Na Fletcher nafkiri pia yupo kama link ya Benchi la ufundi na Hao mabwana wakubwa, mambo mengi ameyatolea ufafanuzi na jamaa namuelewa, mfano Msimu huu aliongelea namna tulivyotafuta Kocha wa set piece na ukiangalia mwanzo wa msimu wote hatukuwa tukifungwa kabisa magoli ya Corner na free kick.

Na tumekuwa linked na Technical director mwengine Paul Mitchel, ambaye amefanya kazi Spurs, Rb leipzig (Chini ya Ragnick) na sasa Yupo Monaco, ila spurs alikuwa head of recruiting. Hivyo kwetu anaweza pia kuja kufanya same job maana Tumefukuza viongozi wote wa mascout.

Kifupi mkuu kwa sasa kuna Hope za kutosha, Football people wapo wengi na wengine wanakuja.

Huyu naye baada ya Msimu mmoja tu anaweza kukataliwa.
 
Screenshot_2022-04-22-08-30-17-70.jpg
 
As long as kuna Structure hata piece moja ikiondoka haisababishi madhara tofauti na one man show ya Woodward.

Hiyo Structure munayoiongelea Mitandaoni kumbukeni ni Maoni ya Watu na sio Agenda iliyojadiliwa na kuwa implemented na Bodi ya Timu.

So, nawashauri punguzeni too Much false hope na rudini kwenye reality.

Ukweli ni kwamba there's nothing going on kinachoitwa new Team structure except media rumors! You'll never see something like that kwenye official website ya Man U.
 
Hiyo Structure munayoiongelea Mitandaoni kumbukeni ni Maoni ya Watu na sio Agenda iliyojadiliwa na kuwa implemented na Bodi ya Timu.

So, nawashauri punguzeni too Much false hope na rudini kwenye reality.

Ukweli ni kwamba there's nothing going on kinachoitwa new Team structure except media rumors! You'll never see something like that kwenye official website ya Man U.
Ngoja nimsaidie mkuu.....wewe structure unayotaka kuiona ni ipi?

kuna director of football
Kuna technical director
Kuna consultant pia
Kuna executive

hiyo sio structure?

Kwasasa Manchester United wamejitahidi kugawanya majukumu kulingana na majukumu na hiyo ndio structure anayoizungumzia huyo mkuu hapo juu
 
Hiyo Structure munayoiongelea Mitandaoni kumbukeni ni Maoni ya Watu na sio Agenda iliyojadiliwa na kuwa implemented na Bodi ya Timu.

So, nawashauri punguzeni too Much false hope na rudini kwenye reality.

Ukweli ni kwamba there's nothing going on kinachoitwa new Team structure except media rumors! You'll never see something like that kwenye official website ya Man U.
Kwa hio woodward kajiuzulu, Murtough na Fletcher wamepewa vyeo ambavyo havikuepo mwanzo, Head wa scout wamefukuzwa, Murtough kaonesha usajili, RR kaletwa na role juu kapewa etc unahisi ni Rumors hizi?

Hakuna kitu ambacho Kinamuudhi Tajiri kama Kupoteza Hela, Maandamano ya mwaka Jana mpaka Mechi ika Ghairishwa yameleta impact kubwa ikiwemo kushuka kwa Hisa za Man Utd.

Kuna Kipindi Glazer walikuwa wanaivalue United 4B ila soko la hisa sasa hivi ni 2.25B tu. Baadhi ya watoto wa Glazzer wameanza kuuza Hisa zao.
 
Murtough ni mzoefu, ana mwaka wa 13 sasa kama Exec wa Timu. 2008 mpaka 2012 Everton, 2013 mpaka 2016 Academy yetu na 2021 akawa Director wetu.

Sihitaji kuelezea CV yake Everton ila kama ni mshabiki wa mpira Everton ya Moyes unaijua walikuwa wananusa top 4 miaka kama yote.

Pia 2013 mpaka 2016 academy si Haba Tumetoa watu wa Kutosha Kina Rashford, Henderson, Greenwood, Mc tominay etc wapo kizazi hiki.

Na toka 2021 ateuliwe mambo mengi yamekuwa smooth usajili wa Varane mzuri kwa Bei tuliompata rahisi, Sancho Ok, Ronaldo Mzuri, Yeye ndie Aliemleta Ragnick, na Ndie Aliemleta Ten Hag.

So far so Good, kwangu, As long as Woodward na Genge lake Hawataingilia Football matters jamaa yupo vizuri.

Na Fletcher nafkiri pia yupo kama link ya Benchi la ufundi na Hao mabwana wakubwa, mambo mengi ameyatolea ufafanuzi na jamaa namuelewa, mfano Msimu huu aliongelea namna tulivyotafuta Kocha wa set piece na ukiangalia mwanzo wa msimu wote hatukuwa tukifungwa kabisa magoli ya Corner na free kick.

Na tumekuwa linked na Technical director mwengine Paul Mitchel, ambaye amefanya kazi Spurs, Rb leipzig (Chini ya Ragnick) na sasa Yupo Monaco, ila spurs alikuwa head of recruiting. Hivyo kwetu anaweza pia kuja kufanya same job maana Tumefukuza viongozi wote wa mascout.

Kifupi mkuu kwa sasa kuna Hope za kutosha, Football people wapo wengi na wengine wanakuja.
Nani yupo responsible kwenye kutoa mishahara mikubwa pale United?

Kazi halisi ya Matt Judges ni ipi? Haiwezi kuwa replaced na mtu kama Rangnik au DoF?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Judge huyo huyo, hao watu wa Finance hawawezi kuwa replaced na Watu wa mpira.
Nadhani mtu wa recruitment alitakiwa afanye negotiation na mchezaji.

Kuwa na wage imbalance nayo ni shida sana.

Sasa hivi watu kama Rashford, Maguire, DeGea kuwaondoa itasumbua sana. Mchezaji analipwa £300k kwa week na output ni zero.

Tuanze moja. Mishahara haitakiwi kuzidi £200k. Utaongezewa mshahara ikiwa unaonesha juhudi za kueleweka uwanjani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom