Beki yenye magoli mengi kwenye ligi, jamaa hua halichagui goli la timu ipi ndio lifunge, likipata nafasi nzuri hua linatia kamba tu hata kwenye goli la timu yakeMagwaya team captain
![]()







wewe umeiamini ile habari?Ronaldo namuona anamuonesha Ten Haag.
Hata hivyo hakuna namna Tunashukuru sana. Ila kweny build up ya timu kwa kocha mpya the less egos the better.
I am not sure, but at least inasaidia kuwakumbusha hawa mafaza kuwa wasijione ndio kila kitu.wewe umeiamini ile habari?
Acha kuonea dagaa
