Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asee nimeamin huyo kocha n msimamiz wamazoez TU

Norwich hawakutakiwa kupata hata goli

Hii timu labda ashuke Mwenyez Mungu baba
 
Mimi ningekuwa Ronaldo bingehama Msimu wa kiangazi hii. Hili genge linamzalilisha tu Ronaldo hata afunge hatrick saba bado tu kule nyuma wataachia
 
Huyu wa Man U ndo kocha sasa, achana na wale makocha wa Liverpool, Chelsea na City ni wa mchongo.

Mitano tena kwa kocha wa Man u professor RR
 
Back
Top Bottom