Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lampard anacheza 4 3 3 ila hana wachezaji wa kumaintaimln hiyo formation

Hata hivyo Everton ni jungu kuu

Mkuu Castr Lampard ni kocha mbovu, timu haieleweki inatafuta nini wakati alipewa january transfer window ameshindwa hata kufix matatizo ya msingi.

Eddie Howe pale Newcastle alikuta techhnical level ipo chini sana ila anaonesha somehow nini anafanya

Akifungwa leo afukuzwe walete kocha mzuri kuinusuru timu .
 
Hahaha huyu kocha bwana.

Rangnickelodeon kufikia dakika ya 36 anagundua kikosi alichopanga ni utumbo.

Na anamtoa nani? Fred
 
Naona hesgoal hawainesh hii game
Site gan nyingine wanaonesha ?

Siyo game Tu,Bali game zote za epl hawaoneshi wameanza Muda Tu ...Kama unataka kuangalia game za epl tafuta app inaitwa YACINE TV au LIVE FOOTBALL
 

Attachments

  • IMG_20220409_152022.jpg
    IMG_20220409_152022.jpg
    11.8 KB · Views: 23
Mkuu Castr Lampard ni kocha mbovu, timu haieleweki inatafuta nini wakati alipewa january transfer window ameshindwa hata kufix matatizo ya msingi.

Eddie Howe pale Newcastle alikuta techhnical level ipo chini sana ila anaonesha somehow nini anafanya

Akifungwa leo afukuzwe walete kocha mzuri kuinusuru timu .
Chief nashindwa kumterm Lampard kama kocha mbaya coz nimemuona akiwa na chelsea iliyozuiwa kusajili na timu ilikua inacheza vizuri.

Lampard ataprove kitu msimu ujao kama akibaki.
 
Back
Top Bottom