lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,360
- 25,456
Wanaoongoza kwa ufungaji hao hapo according to FIFA ranking, huyo Pele ni wa tanoPele akuhit 1000?
Wanaoongoza kwa ufungaji hao hapo according to FIFA ranking, huyo Pele ni wa tanoPele akuhit 1000?
Hao City wamepigwa Mechi 2 mfululizo na Spurs.Leo Ronaldo anavyoongelewa utadhania Ile mechi ya City hakuwepo lol
Sent using Jamii Forums mobile app


Inabidi tuambiwe ni nani anayemfirer maguire kwenye hii team.
Useng.e mtupu.
We ngj cr7 mnyama anakwenda kuwanyamazisha kwenye UCL zen hawa walalamikaji hawatamuongelea kabisa, kuna watu unaona kabisa hawana moyo mgumu lkn wanajua kwamba ng'ombe hazeeki maini lkn kuna haters hasa ukiangalia historia yao walikuwa Arsenal ndo wakatafuta timu wengine wakaenda Chelsea, wengine City, wachache ndio wakahamia United, na ndiyo hao unaoona wanamkondea Ronaldo maana haiingii akilini unawwzaje kumponda Ronaldo kwa mfano alafu we ni utd fan? Ni kweli kuna game anazingua but hyo ni kawaida lkn eti unakuta utd fan kabisa hampendi cr7 duuhh hata kama kachoka unaanzaje kumchukia mtu aliyetupa heshima kubwa kwenye soka? Jibu ni kwamba hao walikuwa mashabiki wa Arsenal zamani na lazima wamchukie cz aliwatesa sn miaka ile.Hao hawana akili, naona cr7...kawarudisha kwenye reli na akiendelea katika ubora huu, top 4 guaranteed na kikubwa itahitajika MUMFUNGE ARSE8 ili kulower temper on 4th Spot!!!
View attachment 2148790
Ni kweli kabisa tuna shida ya kiungo mkabaji, alafu kingine tunapoteza sn mipira aisee, yn ni ngumu utd players kukaa na mpira hata nusu dakika, kingine sioni sababu ya kubadilisha kocha cz tatizo la utd ni wachezaji.Kocha mpya asipokuja na mpango wa kutafuta kiungo wa chini mkali kama prime Matic ili ampeleke Fred juu sitamuelewa kabisa.
Fred akicheza juu,huku nyuma yake kukiwa na mtu anafanya mambo basi huwa anacheza kwa class ya juu sana..it's about time tulione hili.kuwachezesha pair na mtu kama McTominay ni upuuzi tu.
Rangnick nadhani ameona hilo..several time amemsogeza mbele na hii imesaidia amepata assists na magoli kadhaa chini ya muda Rangnick aliokaa klabuni.
Kmmke! Dogo!
Leo ndio unaona umuhim wa man u kushinda ? Nikueleze sasa liverpool tutawaachia "utelezi" wajipigie wanavyotaka watukojolee hata 4 kama mlivyotukojolea nyie. Dawa ya moto ni moto.
Ralf anaonekana hapendi ujinga kabisa..lakini ndo kama hivyo tumesikia bodi imeshaanza kutafuta kocha.Ni kweli kabisa tuna shida ya kiungo mkabaji, alafu kingine tunapoteza sn mipira aisee, yn ni ngumu utd players kukaa na mpira hata nusu dakika, kingine sioni sababu ya kubadilisha kocha cz tatizo la utd ni wachezaji.
Hakuna balance kwenye timu yetu yn kuna wachezaji wanakosekana wa kuleta balance ya timu hasa kiungo mkabaji, beki wa kati mwenye akili na mwenye macho, mtumaji na anayeweza kunusa hatari.
Pia beki namba mbili mwenye akili na mwenye kasi ya kupanda na kushuka, hao wakipatikana na kocha akabaki huyu huyu mbn tutabadilika. Tusiwe watu wa kukata tamaa na kocha wkt kikosi bado kina mapungufu, kama Liverpool wangekuwa na imani haba na kocha basi mpk leo ingekuwa mchezo ni kubadili makocha tu hata Klopp asingalikuwepo leo hii.
Tumuamini Ralph tumpe vitendea kazi tuone, kwanza uzuri wa Ralph anasikiliza mashabiki japo naye ana misimamo yake, lkn pia anawajibisha wazembe.
Kuna ombi langu kwa Ralph, msimu ujao aanze kutuondolea wapumbavu na aanze na El Capitano.
Hii bodi ndiyo inayotuharibia kila iitwapo leo, badala watafute wachezaji classic wa kuziba mapengo wao wanajishughulisha na makocha, wanatakiwa wamuamini kocha kwanza, hii timu kwa ss hata Ferguson mwenyewe angerudi angechezea za uso mpk angefia uwanjani.Ralf anaonekana hapendi ujinga kabisa..lakini ndo kama hivyo tumesikia bodi imeshaanza kutafuta kocha.
Noma mno [emoji91View attachment 2148572
Penye mazuri tutasifia penye ubaya pia tutasema wala usikhofuMmmeshaanza, halafu mechi ijayo mnaanza kumtukana
Wengi hawakuona. Mpira alioupiga Fred umefunikwa na Magoli ya CR7 wakati mojawapo ya magoli hayo kuna assist ya Fred tena ya kiwango sana.
Itachukua vizazi vingi sana kuja kushuhudia hii rekodi ikivunjwa.. wachezaji wenyewe hawa wa siku hizi? Lewandowski na migoli yake kila leo hapo hata kumi bora hajachungulia bado.. Heshima CR7Wanaoongoza kwa ufungaji hao hapo according to FIFA ranking, huyo Pele ni wa tano
View attachment 2148869
Mara ya mwisho hapo OT cjui nani alifunga hat trick ckumbuki.Itachukua vizazi vingi sana kuja kushuhudia hii rekodi ikivunjwa.. wachezaji wenyewe hawa wa siku hizi? Lewandowski na migoli yake kila leo hapo hata kumi bora hajachungulia bado.. Heshima CR7
Bruno fernandez game ya kwanza msimu huu vs leeds united kama rekodi zangu zipo sawa.Mara ya mwisho hapo OT cjui nani alifunga hat trick ckumbuki.
robin van persie dhidi ya aston villa ndio naikumbuka hatrick yake.Mara ya mwisho hapo OT cjui nani alifunga hat trick ckumbuki.
Kuna mdau anasema ni Bruno Fernandes.robin van persie dhidi ya aston villa ndio naikumbuka hatrick yake.
yupo sahihi,Kuna mdau anasema ni Bruno Fernandes.
Zimeshafungwa hat-trick 4 baada ya hiyo. Ya kwanza alifunga Martial baada ya miaka 7 tangu van Persie afanye hivyo ilikuwa against Sheffield United, ya pili alifunga Rashford against RB Leipzig, ya tatu akafunga Bruno msimu huu against Leeds United na ya nne ndiyo imefungwa na Ronaldo.robin van persie dhidi ya aston villa ndio naikumbuka hatrick yake.