Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbaya zaid wengi wenye nafuu wanakuwa free agents.
Kutokana na hali ngumu ya kifedha walionao FC Barcelona kiupande wao wameamua kuelekeza nguvu zao kwa kusajili free agents.

Kama watafanikiwa kuwasajili christensen, azpiliqueta na kessie wa Ac Milan watakuwa na dirisha bora sana la usajili.

Ukija kwetu.

Ukimuondoa paul pogba unadhani ni mchezaji gani mwengine anayemaliza mkataba wake unadhani anaweza kutusaidia kama atabaki klabuni?

Tuna wachezaji takribani 10 au zaidi waliobakisha mkataba wa mwaka mmoja hadi miezi minne, ni muda muafaka kwa klabu kufanya uchunguzi wa kitaalamu juuu ya mchezaji gani anapaswa kupewa mkataba mpya au mchezaji gani hapaswi kuendelea kuwepo.

Huu si wakati wa kuziruhusu hisia zitawale kwenye kufanya maamuzi.
 
Kutokana na hali ngumu ya kifedha walionao FC Barcelona kiupande wao wameamua kuelekeza nguvu zao kwa kusajili free agents.

Kama watafanikiwa kuwasajili christensen, azpiliqueta na kessie wa Ac Milan watakuwa na dirisha bora sana la usajili.

Ukija kwetu.

Ukimuondoa paul pogba unadhani ni mchezaji gani mwengine anayemaliza mkataba wake unadhani anaweza kutusaidia kama atabaki klabuni?

Tuna wachezaji takribani 10 au zaidi waliobakisha mkataba wa mwaka mmoja hadi miezi minne, ni muda muafaka kwa klabu kufanya uchunguzi wa kitaalamu juuu ya mchezaji gani anapaswa kupewa mkataba mpya au mchezaji gani hapaswi kuendelea kuwepo.

Huu si wakati wa kuziruhusu hisia zitawale kwenye kufanya maamuzi.
Munasingizia wachezaji bure.

Mkubali tu kocha hana technique za kufanya timu i win,ku defense na kukaba.

Wachezaji ni walewale walio toka kushika nafasi ya pili kwenye msimamo plus tuzo za KUTOSHA za mwisho wa mwezi, Kwanini sa ivi wanaonekana ma flop??
 
Kutokana na hali ngumu ya kifedha walionao FC Barcelona kiupande wao wameamua kuelekeza nguvu zao kwa kusajili free agents.

Kama watafanikiwa kuwasajili christensen, azpiliqueta na kessie wa Ac Milan watakuwa na dirisha bora sana la usajili.

Ukija kwetu.

Ukimuondoa paul pogba unadhani ni mchezaji gani mwengine anayemaliza mkataba wake unadhani anaweza kutusaidia kama atabaki klabuni?

Tuna wachezaji takribani 10 au zaidi waliobakisha mkataba wa mwaka mmoja hadi miezi minne, ni muda muafaka kwa klabu kufanya uchunguzi wa kitaalamu juuu ya mchezaji gani anapaswa kupewa mkataba mpya au mchezaji gani hapaswi kuendelea kuwepo.

Huu si wakati wa kuziruhusu hisia zitawale kwenye kufanya maamuzi.
Akachukue wachezaji wa academy mbona kina TAA waliweza
Kina foden sa ivi ni moto
Kina kimmich,kina Pedri

Amix na makinda kama waliopo ni tatizo.

Yeye aseme tu hana mbinu za ukocha.

SPURS NIPIGIE HAWA MBWA GOLI 4 JUMAMOSI,UWANJA NI ULE ULE WA MATOFALI
CHOLO JIPANGE VIZURI UWANJA NI ULE ULE UMPIGE GOLI 3 KAVU

akili ndo zitawakaa Sawa.
 
Munasingizia wachezaji bure.

Mkubali tu kocha hana technique za kufanya timu i win,ku defense na kukaba.

Wachezaji ni walewale walio toka kushika nafasi ya pili kwenye msimamo plus tuzo za KUTOSHA za mwisho wa mwezi, Kwanini sa ivi wanaonekana ma flop??
tunachokijadili sisi na unachojadili wewe ni pande mbili tofauti.
 
Munasingizia wachezaji bure.

Mkubali tu kocha hana technique za kufanya timu i win,ku defense na kukaba.

Wachezaji ni walewale walio toka kushika nafasi ya pili kwenye msimamo plus tuzo za KUTOSHA za mwisho wa mwezi, Kwanini sa ivi wanaonekana ma flop??
Mkuu united hawaeleweki wamekumbwa na nini maana skysport niliona wanasema kuwa "INASIKITISHA ATA WACHEZAJI WANAOIBUKA KUTOKA ACADEMY NAO BAADA YA MUDA WANAKUWA MAFLOP" ...ukiangalia ni kweli refer dogo wa united yule Daniel james waliyempeleka leeds alivyoingia first timu akawa fire kila muda ulivyokuwa ukienda akawa anaflop...sijui kuna shida gani pale trafford!

MIMI SIO FANS WA UNITED LAKINI NAWEZA SEMA...SHIDA KWA MAN-U SIO KOCHA NDUGU NI WACHEZAJI WENYEWE YANI NUSU YA WACHEZAJI WA FIRST TEAM HAWASTAHILI KUWEPO HAPA EITHER VIWANGO VIMESHUKA AMA HAWAENDANI NA HADHI YA IYO CLUB...Kama ni ishu kocha babu RR akiondoka atakuwa ni kocha watano kushindwa kazi hapo united nyuma ya moyez, Van Gal, Mou, na Ole. Ila mie niliposhtuka mapema kuwa united ni janga si kipindi moyez alivyoboronga bali ni kipindi ambacho KOCHA MBOBEZI NA MKONGWE WA MIFUMO MUHOLANZI LUIS VAN GAL ALIVYOISHINDWA...Basi pale nilijua hakuna kocha atakayeletwa pale united atatoboa!...kinachoendelea ni mwendelezo tu.

Kimtazamo navyoona kama kweli kuna wachezaji walio wengi wamemaliza mikataba yao...wangeachwa tu waende alafu new project iandaliwe na sajili mpya zije kufanyika based na kocha mpya ajaye anavyohitaji pia apewe miaka 2-3 ya kusuka timu, ndo warudi tena katika competitive scheme...katika hiyo miaka 2-3 atakayepewa kocha mpya asiwekewe condition ya "LAZIMA ABEBE VIKOMBE" badala yake ambiwe tu atatakiwa kuingia big 4 bhasiii...japo ata hiyo yenyewe inaweza ikawa ngumu kwake kwa mwaka wake wa kwanza wa kazi maana uwepo wa makocha wakubwa pale EPL kama Pep, Klop, Tuchel na Conte...kuingia big4 inaweza isiwe rahisi in his first year of ricruitment!
 
Kutokana na hali ngumu ya kifedha walionao FC Barcelona kiupande wao wameamua kuelekeza nguvu zao kwa kusajili free agents.

Kama watafanikiwa kuwasajili christensen, azpiliqueta na kessie wa Ac Milan watakuwa na dirisha bora sana la usajili.

Ukija kwetu.

Ukimuondoa paul pogba unadhani ni mchezaji gani mwengine anayemaliza mkataba wake unadhani anaweza kutusaidia kama atabaki klabuni?

Tuna wachezaji takribani 10 au zaidi waliobakisha mkataba wa mwaka mmoja hadi miezi minne, ni muda muafaka kwa klabu kufanya uchunguzi wa kitaalamu juuu ya mchezaji gani anapaswa kupewa mkataba mpya au mchezaji gani hapaswi kuendelea kuwepo.

Huu si wakati wa kuziruhusu hisia zitawale kwenye kufanya maamuzi.
Sijui mumekumbwa na nini majirani yani wachezaji wenu wamekuwa kama walevi hawana hata stamina on the pitch!...mimi nilishangaa sana hii.

 
Kiukweli big game ambazo ni za Pride na dominancy yani against City na Liver...sio za kupigwa nje ndani tena kwa margin kama 4-1 au 5-0 kama ile ya liver first round tena OT...katika kipindi hichi muhimu timu inapigania kuingia nafasi 4 za juu kwenye msimamo.

From around the world fans have been enduring pain and tenderness for this heavy defeats from arch rivals

Screenshot_20220307-115933.jpg


Screenshot_20220307-115916.jpg


Screenshot_20220307-115902.jpg


Screenshot_20220307-115814.jpg


Screenshot_20220307-115752.jpg


Screenshot_20220307-115735.jpg


Screenshot_20220306-225932.jpg


Screenshot_20220306-225906.jpg


Screenshot_20220306-225804.jpg
 
Kuna baadhi ya fans wa united walianza mdhihaki ronaldo kuwa ndio tatizo pale united since his arrival after poor match results ila wanashindwa kuona hali ni mbaya kwa ile timu nzima...mungu kajaribu kuwaonyesha kuwa shida sio ronaldo juzi hakuwepo na mumefanyiwa dhahama na city boys!

Screenshot_20220306-225643.jpg


Na za chini chini kutoka kwa watu wa karib wa cr7 inasemekana alikuwa hana injury yule jamaa na alishajua nini kinaenda tokea kule etihad!!!...pia hafurahishwi na usemi kwa baadhi ya UTD FANS Kuwa yeye ndo tatizo kikosini.

Screenshot_20220307-180552.jpg
 
Back
Top Bottom