Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu leo ushindi muhimu kama bado mnaitaka top 4
Miaka ya hivi karibuni unakumbuka lini kutufunga kwenye ligi hapo emptyhad?.

Ole kila akija 3 points zilikuwa secured..

Sina pressure kabisa.
 
Yani uwezi amini jamani nachokiona huku kila napopita watu ni kutabasamu
tu ukiuliza kunani neno ni moja tu kwa kila mtu.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furahaaa
Umeona mziki wa Chelsea mzee baba
 
Ole inabidi ampe mbinu Rangnick ya kumpiga Pep leo pale emptyhad..

Ole alikuwa anatuwekea tu kiberenge James,bishoo Martial,na kijana mjinga Rashford na City wanakaa vizuri tu..Pep kazi kukuna tu upara ule.

Big test for Rangnick today.
 
Ole inabidi ampe mbinu Rangnick ya kumpiga Pep leo pale emptyhad..

Ole alikuwa anatuwekea tu kiberenge James,bishoo Martial,na kijana mjinga Rashford na City wanakaa vizuri tu..Pep kazi kukuna tu upara ule.

Big test for Rangnick today.
Sisi United hatutaki Liverfool achukue ubingwa kupitia mgongo wetu Leo The Citizens wanashinda
 
Sisi mashabiki kindakindaki wa mwanitesa tunasema lazima kipara afe leo top four muhimu sana kwetu kuliko ubingwa wa liver
Sisi United hatutaki Liverfool achukue ubingwa kupitia mgongo wetu Leo The Citizens wanashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…