Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,026
allypipi aka allybiskuti leo dunia inafuraha kwakwel
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Arudi tu kwa wala pizza huko Italy.mechi ya jana romelu lukaku aligusa mpira mara 7 katika dakika 90 alizocheza, kipindi cha kwanza aligusa mpira mara mbili,
Mpaka sasa bado sijajua kwanini Ole alimgeuza Guardiola kuwa kibonde wake ilihali yeye alikuwa kibonde wa kila kocha pale EPLHawa city ukicheza nao kwa nidhamu ya hali ya juu unawapata wakiwa wazi nyuma muda mwingi. City hawapendi kubanwa wakiwa na mpira.
Bonge moja la mechi hasa kipindi cha pili.
Kops watakuwa wamefurahia zaidi huu ushindi wa spurs kuliko spurs wenyewe.
Game on.
Kuna jamaa mmoja wa liverpool alikuwa anashindia humu Don Clericuzio sijamuona kitambo sana
We fala sisi vita ya North West Derby hatuiwezi. Kwanza kwanini unataka sisi tushinde mechi ngumu kama hiyo, shida nini?Najua nyumbu mna game na Liverpool so it's time for revenge ...msije kubali kufaa kiholo kama Mende round ya pili ....

11:00 jioniMechi ya United saa ngapi?
Hio match sio ngumu mbele ya Ronaldo na bruno mzee,We fala sisi vita ya North West Derby hatuiwezi. Kwanza kwanini unataka sisi tushinde mechi ngumu kama hiyo, shida nini?![]()



shida ni kwamba lazima mshinde hio ili muwe na uhakika zaidi top 4 ,maana arsenal anapalilia ...



ila sare inawahusu
Tujiandaeni kumpokea MAURICIO POTECHINNO kama kocha mpya, kuanzia msimu ujao.Son aletwe kwenye matofali ya kuchoma.
Kiumbe mzito Uyu.HUYU POGBA HATARI SANA.. NI WA DUNIA NYINGINE, AKILI KUBWA SANAAA