Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ronaldo si mchezaji bishoo ila umri umekwisha mtupa mkono, 37 now unadhani atafanya nini la maana uwanjani....wamuuze tu.Ndio maana timu yangu Chelsea
Haipendi kusajili wachezaji mabishoo, Huu utaratibu wao nimeupenda sana
Nani atamnunua?Ronaldo si mchezaji bishoo ila umri umekwisha mtupa mkono, 37 now unadhani atafanya nini la maana uwanjani....wamuuze tu.
Ingekuwa arsenal tuta hapoSasa hii sijui ni red card au captain anapona? Afadhali imekuwa fair. Maana vijana wetu wamedata
Umemaliza mkuuLeteni makombe, Mambo ya kujaa na kupwa ziachieni bahari
hao ndio wachawi waliotulogea degea na wenzake, wanapandikiza sumu ile hali mashabiki tunaona mabadiriko kwenye aina ya uchezaji pale wachezaji wanapokuwa wanafuata maelekezo ya kochaHawa jamaa, kipindi cha Ole hawakuthubutu kusema maneno kama haya pamoja na timu kufanya vibaya.
View attachment 2117607
Kwa namna Ronaldo anavyoua build up na chances kadhaa nachelea kusema usajili wake utanisupprise sana kama atafanya maajabu yoyote.The best alimuona kama mwarobaini wa matatizo yetu lakini kwa sasa hoja yangu ya 5 na 6 bila shaka inaanza kuonyesha dhahiriSijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?
Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.
Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.
2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.
3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.
4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.
5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.
6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.
Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???
Welcome the GOAT.
mchezaji akae na mpira dakika nzima😂Jitu linalipwa paundi 530k kwa wiki halafu hawezi hata kukaa na mpira angalau kwa dk 1 bhana!
Timu gani itakubali kumlipa mchezaji pesa hiyo alafu akashindwa kupata goli km mechi 6 mfululizo.
Hapo kwa Ronaldo mmekiingia kwa kweli! Biashara za kukurupuka mwisho wake ndio kama hivyo, huna pa kumtupa.
Kinachobaki ni kufukuzisha makocha tu.
Mchezaji anaweza kukaa na mpira dakika moja akiwa nje ya uwanja tu.Jitu linalipwa paundi 530k kwa wiki halafu hawezi hata kukaa na mpira angalau kwa dk 1 bhana!
Timu gani itakubali kumlipa mchezaji pesa hiyo alafu akashindwa kupata goli km mechi 6 mfululizo.
Hapo kwa Ronaldo mmekiingia kwa kweli! Biashara za kukurupuka mwisho wake ndio kama hivyo, huna pa kumtupa.
Kinachobaki ni kufukuzisha makocha tu.
Unabwabwaja tu bila facts, Man u ni mbovu uwanjani tu, swala la biashara, mapato n.k anakimbizana na magwiji huko.. uwanjani wanafungwa hata na Yanga ya sasa hivi, yule Maguire ni pipaAkili zako hazina akili