Mkuu una reasoning za ajabu sana.
1. Utd akishindwa kujaza OT na city akishindwa kujaza Etihad ipi ni Aibu? Huoni kwamba mwenye uwanja Mdogo alitakiwa ajaze sababu mashabiki wachache tu?
2. Ndio united Anajaza kila mwaka Uwanja na data zipo,
Hizi ni data toka statista.
View attachment 2115684
Kuanzia 2009 hadi 2019 uwanja ni full tena unajaza kushinda capacity yake.
2019/20 ndio mechi ziliaghirishwa sababu ya corona na 2020/21 viwanja viliruhisiwa mashabiki wachache mwishoni
Source hapa
Manchester United had an average attendance of only 526 for their home games in the 2020/21 season - this significant drop in attendance can be explained by the fact that many of the fixtures during this season were played behind closed doors as a result of the COVID-19 pandemic.
www.statista.com
Sasa hivi old traford inajengwa siti za watu wa kusimama kuongeza capacity ndio maana unaona msimu huu inarange hio 71000 mpaka 73000 ikiisha hio wataingia watu zaidi ya 76000