Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fainali UCL ni Neutral haina cha U man city wala U chelsea, obvious itajaa, Stay on Topic tunazungumzia Man City na Uwanja wao unaitwa Etihad.
Wewe hujielewi unajua ...

Umesema united haijazi Sana kipindi cha corona ?? Unaakili wewe kweli

Niambie ni lini kipind cha corona fans waliingia uwanjan?
 
Fainali UCL ni Neutral haina cha U man city wala U chelsea, obvious itajaa, Stay on Topic tunazungumzia Man City na Uwanja wao unaitwa Etihad.
Usijifanye unajua ,Mimi mwenyewe Nina picha kibao Hilo li uwanja lenu OT halina fans Tena big game ...Sasa sijui unataka kusema Nini
 
dah umempiga na kitu kizito wamekimbia uzi wao huko wa man city auna ata wachangiaji kabisa pain killer anajichekeshaga mwenyewe tu.
Mashabiki wengi wa Man city ni wa baada ya team kununuliwa na waarabu, royal fan wachache sana anajifariji tu
 
Mzee picha kama hizo ,ambazo hamkujaza hapo OT zipo kibao mbuzi ...

Yaani empty seat zikiwa kibao ..

Sasa sijui unabishana Nini

Usifikili Mimi ni mtoto mdogo kijana
Mzee picha kama hizo ,ambazo hamkujaza hapo OT zipo kibao mbuzi ...

Yaani empty seat zikiwa kibao ..

Sasa sijui unabishana Nini

Usifikili Mimi ni mtoto mdogo kijana
Ligi ya uingereza wana Protocal za idadi ya mashabiki kipindi hichi cha Corona. Old Traford msimu uliopita ilikuwa hairuhusiwi kujaza.

Hii Attendance ya msimu huu
Screenshot_20220210-173620.png

Mechi moja tu hapo ndio walikuwa 71871 na ilikuwa ni Fa vs Middle.

Hii ni Man city
Screenshot_20220210-173906.png

Hamna hata Uwezo wa kujaza uwanja UCL vs Leipzig mpaka 38,000 watu.

Toka msimu huu uanze hamjajaza uwanja, mmejitahidi tu hio vs Fulham empty seat kama 2000 tu.

Pia lete source ya Empty Old Traford hizo picha za Corona katafute Wenzio maskani uwadanganye
 
Nawapeni homework


Angalieni next 7 Games za man u

Alafu u-relate na hii form yenu


R.I.p nyumbu
 
Luis Suarez bites Chiellini and Ivanovic - there wasn't any sponsorship withdrawal

Alonso killed someone with his car - got about £60k fine- playing for Chelsea.

Marguire was convicted in Greece for assault and bribery- No punishment for him

Mason Greenwood assaulted his girlfriend Harriet Robson and has been granted bail

Kurt Zouma has been fined £250k because he kicked a cat, lost his sponsorship deal with Adidas and Vatality.

Moreover, 80,000 people have signed petition to the UK government to prosecute Zouma.

Justice for Kurt Zouma
 
Ligi ya uingereza wana Protocal za idadi ya mashabiki kipindi hichi cha Corona. Old Traford msimu uliopita ilikuwa hairuhusiwi kujaza.

Hii Attendance ya msimu huu
View attachment 2115026
Mechi moja tu hapo ndio walikuwa 71871 na ilikuwa ni Fa vs Middle.

Hii ni Man city
View attachment 2115027
Hamna hata Uwezo wa kujaza uwanja UCL vs Leipzig mpaka 38,000 watu.

Toka msimu huu uanze hamjajaza uwanja, mmejitahidi tu hio vs Fulham empty seat kama 2000 tu.

Pia lete source ya Empty Old Traford hizo picha za Corona katafute Wenzio maskani uwadanganye
@Pain killer kuna muda unatamani tukuone ni Mtu Mzima uliyekula chumvi nyingi. Lakini namna unavyojibu ni kijana uliyekimbia shule. Usikimbilie kuvaa koti, muda wako bado. Wewe ni kizazi cha pampas. Jamaa amekupa majibu na facts hizo hapo.
 
Luis Suarez bites Chiellini and Ivanovic - there wasn't any sponsorship withdrawal

Alonso killed someone with his car - got about £60k fine- playing for Chelsea.

Marguire was convicted in Greece for assault and bribery- No punishment for him

Mason Greenwood assaulted his girlfriend Harriet Robson and has been granted bail

Kurt Zouma has been fined £250k because he kicked a cat, lost his sponsorship deal with Adidas and Vatality.

Moreover, 80,000 people have signed petition to the UK government to prosecute Zouma.

Justice for Kurt Zouma
Ila Greenwood kimemkuta Kibaya zaidi kuliko zouma
 
Ligi ya uingereza wana Protocal za idadi ya mashabiki kipindi hichi cha Corona. Old Traford msimu uliopita ilikuwa hairuhusiwi kujaza.

Hii Attendance ya msimu huu
View attachment 2115026
Mechi moja tu hapo ndio walikuwa 71871 na ilikuwa ni Fa vs Middle.

Hii ni Man city
View attachment 2115027
Hamna hata Uwezo wa kujaza uwanja UCL vs Leipzig mpaka 38,000 watu.

Toka msimu huu uanze hamjajaza uwanja, mmejitahidi tu hio vs Fulham empty seat kama 2000 tu.

Pia lete source ya Empty Old Traford hizo picha za Corona katafute Wenzio maskani uwadanganye
Kipindi cha corona league imechezwa bila mashabiki ,ni lini waliweka idadi ya watu iwe ndogo au kubwa kisa corona .?

Mbona unakuwa mbumbumbu ...

Huwezi kusema et united haijazi uwanja kisa corona kawadanfanye nyumbu huko ...

The fact is hapo OT Kuna match inakuwa empty seat ,tatizo umekaza fuvu na kujificha kwenye corona ...

Corona ilivoingia match zote zilichezwa bila fans ....


Ni wapi wameonesha idadi ya fans kuingia uwanjan kisa corona ,ni wapi Leta hio takwimu ...
 
Ligi ya uingereza wana Protocal za idadi ya mashabiki kipindi hichi cha Corona. Old Traford msimu uliopita ilikuwa hairuhusiwi kujaza.

Hii Attendance ya msimu huu
View attachment 2115026
Mechi moja tu hapo ndio walikuwa 71871 na ilikuwa ni Fa vs Middle.

Hii ni Man city
View attachment 2115027
Hamna hata Uwezo wa kujaza uwanja UCL vs Leipzig mpaka 38,000 watu.

Toka msimu huu uanze hamjajaza uwanja, mmejitahidi tu hio vs Fulham empty seat kama 2000 tu.

Pia lete source ya Empty Old Traford hizo picha za Corona katafute Wenzio maskani uwadanganye
Ni wapi walisema kuwa man united isiruhusiwe kujaza fans wengi kisa corona ?



Jibu hili swali kwa ufasaha mbuzi na evidence juu ...!

Usipo jibu hapo wewe ni pimbi
 
Arsenal tupo uwanjani lakini wanaoteseka zaidi ni nyumbu,

Rashford, lingard, Sancho, martial, wakae kwa kutulia wajifunze bolu kwa SAKA
 
Kipindi cha corona league imechezwa bila mashabiki ,ni lini waliweka idadi ya watu iwe ndogo au kubwa kisa corona .?

Mbona unakuwa mbumbumbu ...

Huwezi kusema et united haijazi uwanja kisa corona kawadanfanye nyumbu huko ...

The fact is hapo OT Kuna match inakuwa empty seat ,tatizo umekaza fuvu na kujificha kwenye corona ...

Corona ilivoingia match zote zilichezwa bila fans ....


Ni wapi wameonesha idadi ya fans kuingia uwanjan kisa corona ,ni wapi Leta hio takwimu ...
hizo hapo source, december mwaka juzi EPL walitangaza tier kila uwanja, vyengine viliruhusiwa mashabiki 2000, vyengine 4000 etc



mpaka mwisho wa msimu mechi na Fulham kulikuwa na mashabiki 10,000 tu walioruhusiwa source hii


nina wasiwasi mkuu hata mpira huangalii kama hujui msimu uliopita viwanja vilikuwa havijai mashabiki.
 
hizo hapo source, december mwaka juzi EPL walitangaza tier kila uwanja, vyengine viliruhusiwa mashabiki 2000, vyengine 4000 etc



mpaka mwisho wa msimu mechi na Fulham kulikuwa na mashabiki 10,000 tu walioruhusiwa source hii


nina wasiwasi mkuu hata mpira huangalii kama hujui msimu uliopita viwanja vilikuwa havijai mashabiki.
Point ni hapo united hakuna empty seat ?..... mbona mnaisakama city as if nyie mnajaza uwanja kila game ..?..


Kipind cha corona tulicheza bila fans ,na ndio order ilitolewa ....

Unaniwekea link za kijinga nifanyeje Mimi
 
Point ni hapo united hakuna empty seat ?..... mbona mnaisakama city as if nyie mnajaza uwanja kila game ..?..


Kipind cha corona tulicheza bila fans ,na ndio order ilitolewa ....

Unaniwekea link za kijinga nifanyeje Mimi
Wewe dogo ni kilaza vibaya mno.

Sisi hatukujaza kwa sababu ya katazo..lakini City hata bila katazo hawajazi uwanja.

Emptyhad.
 
Wewe dogo ni kilaza vibaya mno.

Sisi hatukujaza kwa sababu ya katazo..lakini City hata bila katazo hawajazi uwanja.

Emptyhad.
Wewe ni fala corona imeanza mwaka juzi unajua hii ilikuwa mwaka gani mpumbavu mkubwa wewe
Screenshot_20220210-164559.jpg
 
Unajua huu ni mwaka gani mbuzi wewe ,hapa ilikuwa kipindi cha corona ? m.k.ndu wewe
Screenshot_20220210-164318.jpg
 
Back
Top Bottom