buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,139
- 6,283
Limaguire kumbe toka liko Leicester ni famba, nimecheki mistakes zake YouTube zipo nyingi tu toka akiwa Leicester, sijui scouting inafanya kazi gani?
Even me nayecheza fifa naweka scouting sehemu nyingi na kureview wachezaji.
Asee now naona dawa ni kuwa na Tajiri ambae hela zake zinamuuma sio hawa Glazer ambao wanachota tu.
Even me nayecheza fifa naweka scouting sehemu nyingi na kureview wachezaji.
Asee now naona dawa ni kuwa na Tajiri ambae hela zake zinamuuma sio hawa Glazer ambao wanachota tu.