Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lile goli angekua bissaka au linderof angeweza asifunge ila maguire hata kulala simple tu kumemshinda kampisha hata kumpush kidogo basi dah bichwa lile.
Limetunyima ushindi jana maana limekaa offside tumekataliwa goli limeshindwa kukaba tumefungwa.
Angalia replay utaona Dalot ana kimbia mdogo mdogo hana Habari. Maguire hana speed akipitwa Ngumu ku recover, move kama zile ndio Bissaka alikuwa akituokoa. Na Mc tominay na Shaw pia wana makosa yao.

Cheki hii video muangalie Dalot

Your browser is not able to display this video.
 
Hili timu ni ngumu kupoint kosa la mtu mmoja mmoja kwa jinsi linavyocheza.

Nina uhakika ile Simba ya Aussems au Sven ingeweza kuwachakaza Man united pale pale OT.
 
Ole asingemsajili Ronaldo mpaka sasa angekuwa ni kocha wa Man United.
Tatizo ole kasajiliwa Ronaldo badala ya Midfielder, kuna source nyingi zinaonesha Ronaldo si chaguo la ole.

Kuna hii stat moja inaonesha matokeo ya Ole Baada ya Bruno na Kabla ya Ronaldo.


59% win rate average point 2.02,
 
Alafu hii inshu ya Zouma na paka.

Wazungu bana maku sana.
Nishawahi piga haya mapaka na mambwa zaidi ya Zouma.

Pets zingine ujinga, yaani natoka shule saa 9 njaa kali nakuta paka anakula msosi wangu daah kitaumana.

Nikiwa na mamlaka nachukua paka koko na mbwa koko wooote nawapandisha ndege na kuwabwaga huko kwao wawatunze vizuri.

Wana matatizo ya homeless wengi, alafu unakuta hata mali wanaandikisha paka.

Anyway Zouma hakutakiwa kuwa kwa Recorded ni kumalizana kimafya alafu unaita watu wa mapaka kumchukua.
 
Paka na mbwa wa kibongo wanachezeaga kichapo cha kutosha..yaani unakutana na mbwa unamuonea hadi huruma..

Sasa ukiwa kwa wazungu huko ukiwapiga inaweza kula kwako vibaya sana...Sheria za wanyama zitakufunga..hata kukutwa tu na porn video ya wanyama ni msala.
 
mkuu hawa jamaa ni wanafiki sana media zisikuchanganye.

ufaransa chakula chao kikubwa kinaitwa foie gras, hili ni ini la bata ambalo linatokana bata kulazimishwa kula kinguvu mpaka ini linaftuka mara 10 ya size yake.
mcheki jamaa hapa alivyomshika bata, anaingizwa bomba na kulazimishwa kula chakula kingi sometime kilo moja mpaka 2

hawa Bata wanaenda kuna wakati hadi wanapasuka.

wapo watu wanakemea ila majority ya ulaya wapo kimya, ufaransa anatengeneza mpaka tani 18k (kilo milioni 18) hao ni bata kama milioni 30 wamefanyiwa huo unyama, ila wanafumba macho kama hau exist huo unyama.

fanya wewe sasa uone.
 
Huku wanyamapori sawa ndio tunakatwa hadi unyayo.

Binafsi huwa sipendi wanyama kukwezwa kuliko binadamu.

Anyway huko ni kwao.

Kuna mwamba alisema walikua Norway wakakutana waafrika kusherehekea siku yao, wakaalika wazungu wakachinja mbuzi kwa kisu wazungu wakaanza mayoe na kuita polisi alafu baadae urafiki ukafa kisa waliwaita makatili.

Najiuliza wao hawali nyama yoyote?

Muda si mrefu wataanza kuonea huruma sukuma na kabichi zinavyokatwakatwa.

"UKISHA KAMILISHA KILA KITU MAISHANI (MAENDELEO) AKILI INAFIKA MWISHO INAAANZA KUWAZA UPUUZI"
 
Ukiwakuta huko mitandaoni wanavyopinga ishu za wakina Greenwood na Zouma kama siyo wao wanao-support mapenzi ya jinsia moja hata paka wa Zouma wanayemtetea anajua ipi ya kutumia.

Ni kweli mataifa ya Ulaya na Marekani yameendelea ila wana ufala mwingi unaendelea wanapaswa ku-deal nao kwanza. Jamii zao zimejaa ubaguzi wa rangi lakini siyo vitu utasikia wanakomaa navyo ni ungese ungese tu ndiyo wanapenda.
 
Huyo Zouma nae boya sana.

Kama hupendi haya mapaka sijui mbwa, kwanini uyamiliki?

Yanahitaji dedication ya hali ya juu. Bora asingekuwa nayo toka siku ya kwanza.
 
Tatizo ole kasajiliwa Ronaldo badala ya Midfielder, kuna source nyingi zinaonesha Ronaldo si chaguo la ole.

Kuna hii stat moja inaonesha matokeo ya Ole Baada ya Bruno na Kabla ya Ronaldo.


59% win rate average point 2.02,
CR7 auzwe PSG.

Chances tunazotengeneza pale mbele zinahitaji lethal striker callibre ya kina Lewandowsky.

Recruitment ya dirisha lijalo lianzie mbele kurudi nyuma.
 
Wanafanya ubaguzi tu hakuna lolote
 
jana kosa kosa la ronaldo nini ? cavani mpk anatoka ana shot 1 on target ile header ! winger unamtegmea rashford badala ya kumpa mtu anapiga mwenyewe ! hivi ronaldo angeenda city unaamini angepitia wakti mgumu km huu anaoptia man u ?
Sababu Man U wamemsajili Ronaldo haimaanishi kosa ni La Ronaldo, Hata Ronaldo hapendi na pengine Man U ya sasa ndo timu yenye Midfielder ambayo sio Creative kuliko Timu zote Alizowahi kuchezea Kabla. Tulihitaji midfield Reinforcement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…