We kila siku unasemaga kujitoa lkn tunakuona humuHii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Ulishawahi kusema hivi kabla tumeshazoea.Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Heee yamekuwa hayo mzee wa kosi la dunia?Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Tupo hapahapa hahahaahahahahHizi hesabu umepiga ni za wale motivational speaker
AhahahahhahahaahahahahMaradhi mengine mnajitakia wenyeweTumbo langu limejaa gesi
Habari wana jamvi. Naomba msaada tumbo langu naona limejaa sana gesi nashindwa mpaka kula vizuri. Sijui shida ni nini maana nakula kidogo sana tumbo linakuwa lishajaa wakati sio kawaida naomba msaada ila choo bado na pata... Ushauli tafadhali.www.jamiiforums.com
Mmeshinda ngapi?Leo tunashinda nyingi nimeoteshwa na malaika.
Matokeo?Defense yetu imechambuliwa kama katanga. Ila tufunga mawili au matatu. Mood ni nzuri.
Kocha wa TT na Klopp hafai tena??Tunahitaji kocha wa mbinu zaidi na anaejua kudeal na wachezaji....nampendekeza ten wa ajax
Mzee wa Kosi la dunia upo?Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Kocha wa TT na Klopp hafai tena??Tunahitaji kocha wa mbinu zaidi na anaejua kudeal na wachezaji....nampendekeza ten wa ajax
Mkuu usiwaamini sana Man Utd, ni kama tumbo la uharo vile mara linakuaibishaLeo timu imetulia
Na usirudi humu.Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
mnatia huruma kwa kwelyHivi kama wachezaji wanaweza kucheza vizuri dk 45 za kwanza na vibaya kipindi cha pili chini ya kocha huyuhuyu unapata wapi ujasiri wa kusema kocha hafai.
United wanatengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini hawazitumii vizuri, bado ni shida ya kocha kwenda kuwafungia magoli?
Maguire tokea kipindi cha Ole anatoa maboko tu na mpaka leo siyo beki wa kuamini. Je, bado shida ni kocha?
Man u ikicheza wapinzani tunakuwa na furaha Sana kwan tunajua matokeo yatakayotokeaHivi Maguire hakuna timu yenye ata paund 5 tuwape tu.