Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,365
😆😆😆👍Bora zee magwaya limepigwa bechi mpaka akili ilikae sawa pambafu.View attachment 2088537
😆😆😆👍Bora zee magwaya limepigwa bechi mpaka akili ilikae sawa pambafu.View attachment 2088537
Unaota weye amka.Brentford katoka kushonwa atakuja huku anaogopa. United katoka kusuluhu anakuja huku anataka kufufua matumaini ya top 4 kwakua viporo vilishakua siyo ishu.
Ralf bado anafanyia majaribio formations zake wakati Brentford tayari iko established katika 3 5 2 so natarajia mpira wa kueleweka uchezwe sana na Brentford as wataovercrowd mid.
Timu zote mbili zina finishers wazuri ila united ina shaky defense so cha kwanza kukipoteza ni clean sheet. Game itakua ya moto naprefer Brentford ashinde ili kunipunguzia wagombea top four
Safi sana.Jaribu pia kumfuatilia Ruben Amorim yupo Sporting Lisbon hii ni rekodi yake toka amepewa timu mwezi wa 3 mwaka 2020.
View attachment 2088539
Hahaha nina 70% hamtakaa na clean sheetUnaota weye amka.
Donny kamuambia Ralf inabidi unipe namba au nitoe kwa mkopo kwakua nahitaji kucheza kombe la dunia.hii timu inawatu wanamaamuzi ya kishamba sana newcastle wanamtaka lingard wao wanakomaa na lingard wala hachezi ss sijui wanambakisha wa nini
Bora Ole kuliko huyu anae Vaa miwanj ya mbao.Safi sana.
Ila Man Utd inahitaji kocha callibre ya Ragnick.
Lele mama ataishia kuwa kama Ole.
Elanga Hana akili,Bado mtotoRashford Martial Maguire wakae benchi mpaka mwisho wa msimu tushawavumilia sana tumpe Elanga na Greenwood hizo nafasi sasa wacheze basi.
Mara mia Elanga unamuona hata kwenye kukaba, kuna Greenwood kule huyu dogo amekutwa na nini mbona kawa flop hivi?Elanga Hana akili,Bado mtoto