Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Anachofanya kocha ni kuwakata midomo wachezaji, kuwaporomoshea lawama ambazo makocha wengine waliporomoshewa kifupi anajihami. La mwisho anajaribu kuwakata masikio wachezaji ambao masikio yao yalianza kuzidi vichwa
Ni kwel wavivu awajitumi awaelekezek makosa wanayofany sio mpk ufundishwe watumie ukubwa wao
 
Maneno aliyoongea CR7 hayaendani na kiwango anachocheza, ajirekebishe yeye kwanza.
 
Maneno aliyoongea CR7 hayaendani na kiwango anachocheza, ajirekebishe yeye kwanza.
Ronaldo hana cha kujirekebisha, anachocheza sasa hivi ndiyo kiwango chake umri umeshaenda hawezi kufanya mambo aliyokuwa anafanya akiwa na miaka 18. Young players wana cha kujifunza kutoka kwa Ronaldo, haiwezekani mtu aliyeshinda karibu kila taji kubwa Ulaya na Duniani awe na mentality ya ushindi kushinda mtu ambaye hajashinda chochote zaidi ya Europa na FA Cup.
 
Back
Top Bottom