Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu mkishinda leo siingii humu mpaka mwezi ujao.

Hili mbungi la leo hamtoboi.
 
Kuna mtu anaweza kuniambia kwa nini Rashford hayupo leo hata kwenye sub? Juzi alitusaidia sana alikuwa anakimbia sana akawazuia wasitushambulie sana.
Leo ni kichekesho Bruno kawekewa watoto wawili mmoja kulia na mmoja kushoto. Greenwood anadhani akipata mpira ni kupiga tu kwa kipa (bado hajakomaa) huyu Elanga ni mchanga sana sanaaa kuanza kwenye mechi kubwa yenye preasure kama hii. Ngoja niagize Castle light hii mechi sio ya kuangalia ukiwa na akili timamu.
Rashford wa wapi uliemzungumzia hapa mkuu??
 
Bahati nzuri hiyo interview leo wameirudia jioni kupitia Supper sport Premium League, Ronaldo yuko very matured na laiti wale watoto wangejifunza kwake Man United ingekuwa mbali sana

Tatizo la utoto wa wachezaji wa Manure ilianzia kwenye usajili wa Sanchez, kwa sababu ya mshahara mkubwa aliopewa Sancez, Pogba walianza kulalamika na akawaambukiza wengine kwenye dressing rooma na morale ya wachezaji ikapungua na matokeo yakawa mabaya.
Kaja Lukaku, Kaja Varane na Ronaldo wa mishiko mikubwa ndio kabisa kuna watoto wameshaacha kucheza kabisa. Wasipotandikwa viboko na au kuuzwa hakuna ligi ya ulaya mtakayocheza mwaka huu. Hata Europa Conference League hamtaiona

Ronaldo anasema ni ngumu sana kumlazimisha ua kumshawishi mchezaji kujituma, inabidi ianzie ndani ya mtu mwenyewe na kuwa na mentality ya ushindi kitu ambacho hakipo kwa sasa

Hata Bruno naona naye katia mgomo baada ya Ronaldo kuja na kufanywa kuwa mpiga penalty na free kicks chaguo la kwanza

Yaani hii sio drop form ya Bruno iko wazi ni mgomo anafanya kwa kumuonea wivu mreno mwenzake

Stats za mpaka sasa zinaonyesha kuwa Ronaldo anaongoza kwa parameters nyingi za kule mbele
  1. Goal scored this season all competitions so far 20 wa kwanza
  2. Asists 3 wa pili baada ya Pogaba
  3. Touches in oposition box .. kwa kwanza
  4. Shots ..., wa Kwanza
  5. Mentality ya ushindi - wa kwanza
Halafu bado kuna mashabiki wanamtaka aondoke ili wabakie wale watoto wasiojitambua
Cc Volatility
 
Kuna mtu anaweza kuniambia kwa nini Rashford hayupo leo hata kwenye sub? Juzi alitusaidia sana alikuwa anakimbia sana akawazuia wasitushambulie sana.
Leo ni kichekesho Bruno kawekewa watoto wawili mmoja kulia na mmoja kushoto. Greenwood anadhani akipata mpira ni kupiga tu kwa kipa (bado hajakomaa) huyu Elanga ni mchanga sana sanaaa kuanza kwenye mechi kubwa yenye preasure kama hii. Ngoja niagize Castle light hii mechi sio ya kuangalia ukiwa na akili timamu.
Huyu ni wewe ndio aliandika hivi au uliacha simu.
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Hii timu ndo ile ile iliyoanza kipindi cha kwanza au sub zishafanyika
DD anaendelea kuwa Man of the Match dah!!!
 
Back
Top Bottom