Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sahivi wachezaji hawatamani hata huyo RR apewe consultancy role.

Wamekaliwa shingoni.

Ukisoma comments za mashabiki kwenye page za Man Utd utajua jinsi gani wachezaji wana hali ngumu.
 
Tatizo ni kocha, System yake ya uchezaji.Wachezaji ni wale wale walio kochiwa na Carrick kabla ya kocha huyo Kutua.Mbona wakati wa Carrick walikuwa hawapotezi mipira?
Carrick ame coach mechi ngapi.?

Wakati Ole alipewa kazi ya interim alishinda mechi ngapi?

Leo hii huyo Carrick mngeshamkataa.
 
Akiwa Leipzig alikuwa na wachezaji sahihi.

Sahivi United ana wana mitindo na mafaza. Hakuna mchezaji kule.
 
Unakua professional player na huelewi kupress basi ni tatizo kocha yuko vizuri shida wachezaji wavivu sana na hawataki kuelekezwa wanacheza wanachojua wao.
 
Mimi naamini wachezaji wanazingua sana maana ukiwa tu mchezaji tena professional kama wa united huhitaji hata kocha jamani kujua kupiga pasi mbili tatu kati yenu huhitaji kabisa. Hawa jamaa wameridhika tu halafu viburi sana ukiona RR kasema jana kuna timu ndogo tu lakini wachezaji wanapambana sana unaona kabisa wanakimbia mda wote ila hawa wetu wao kutembea tu akipoteza mpira anatembea.

Wana mentality ya aina gani sijui hawa jamaa hawapambani kabisa hata transition ya mpira kwenda mbele ni slow sana, angalia aston villa wakipata mpira speed yao kuelekea golini ndo utajua hawa wachezaji ni weupe tu tusafishe wote yani asibaki mtu pale misimu miwili ijayo.

watu wanalipwa 80k na wanavuja jasho dakika 90 wapuuzi wanapokea 200k kazi kukuna pua na kuzurura uwanjani hii sio sawa.
 
Having given specific triggers for the Wolves game, Rangnick simplified his instructions on how to press Aston Villa and added detail on what he wanted from his #mufc players when in possession, an aspect that some in the squad felt was lacking before #mulive
[@lauriewhitwell]
 
Mimi nafikiri game tuliyocheza vizuri ni game yetu na Chelsea.

Mechi zingine tumecheza katika standard yetu ya laissez faire nafikiri uchezaji wetu huu ulitupa mafanikio makubwa mechi yetu na Liverpool maana tulikipata tulichokuwa tumekipanda kwa muda mrefu tuliporuhusu wachezaji wetu wacheze kulingana na walivyoamka.
 
Maybe mchezaji anayetakiwa kubaki United ni De Gea tu !!
 
Toka tufungwe na Liverpool sijawahi tena kutamani kuangalia mechi za united
 
Msimu huu hakuna siku hii timu imepata ushindi kwa wepesi "comfortable win"
Jana ilikua kama tunacheza na Bayern, kumbe Aston Villa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…