Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,352
Umesikia Lukaku alichosema? Ni vyema mkajikita kwenye yenuNyie ni matakataka tu hamuna timu ya maana ya kufika hata top four.
Umesikia Lukaku alichosema? Ni vyema mkajikita kwenye yenuNyie ni matakataka tu hamuna timu ya maana ya kufika hata top four.
Kuna watu ni wajinga sana, cjui wanataka mtu afanye nini.Ronaldo's hit mapView attachment 2063583
Cr7 ana njaa ya mafanikio, anapambana kuleta ari kwenye timu, kuna mda akikosa goli unaona jinsi anavyojilaumu, hiyo pekee inatosha kuleta funzo kwa wachezaji wengine pale Utd.Ronaldo's hit mapView attachment 2063583
ExactlyCr7 ana njaa ya mafanikio, anapambana kuleta ari kwenye timu, kuna mda akikosa goli unaona jinsi anavyojilaumu, hiyo pekee inatosha kuleta funzo kwa wachezaji wengine pale Utd.
Wanataka aiweke timu mgongoniKuna watu ni wajinga sana, cjui wanataka mtu afanye nini.
Lazima washindwe ule mchakachaka wa leeds lazima uwe na mapafu ya mbwaKushambulia ni mfumo na jana nmeanza kuona pattern ya jinsi tunashambulia na kutafuta goal...kikubwa wachezaji wamuelewe kocha RR.
NB: nasikia kocha analalamika wachezaji mazoezi magumu hawawezi...ngonj tusubrie
😂😂😂 Mzee naona umepiga miwani ya mbao kwa Ronaldo na umeongeza pamba masikioni.Kuna watu ni wajinga sana, cjui wanataka mtu afanye nini.
Hehehehee mbona umejijibu mkuu, kama utaongelea kigezo cha umri wkt mtu ana deliver hapo huwezi kueleweka, lkn pia kama unatumia kigezo cha chenga na kumiliki mpira kwamba ndio u finalize kuwa CR7 kaisha basically utakuwa unaishi dunia yako pekeako mana dunia ya sasa soka halihitaji hayo mambo, na pia utambue kwamba majukumu ya cr7 kwa ss yamebadilika.Mzee naona umepiga miwani ya mbao kwa Ronaldo na umeongeza pamba masikioni.
Hapa tunakosoa kila mchezaji haijalishi performance yake.
Tuwe wakweli Ronaldo ni 37yrs old, vitu tunavyoexpect kwake hawezi tupa kwa asilimia zote.
So kuna haja ya kuwa na straika wa kueleweka.
Offensive tuko vibaya, maana mbele wote wana attitude.
Ukiondoa Ronaldo na Cavani ambao wanajua nini cha kufanya, ila ndio hivyo miili imewakataa.
Kubali tu mzee tuna mapungufu offensively, mzee wetu Ronaldo tukubali miaka imeenda, so kusema kuwa mechi nyingine anakua ovyo tunamaanisha wala hatumchukii.
Ila ndio hivyo Bora yeye kuliko Trashford, Masson Kachoyo, Bishoo martial.
Ila tukiwa na mtu kama Haland halina ubishi Ronaldo kuanzia benchi halina mjadala.




Usisahau kwamba cr7 ametoka kubadili mazingira ya ligi kakuta ligi imeshaanza wkt Halland tayari yupo Bundesliga na keshazoea mfumo. Pia nadhani unajua tofauti kati ya Bundesliga na EPL.Ronaldo kazeeka, lkn map inakukataliaMzee naona umepiga miwani ya mbao kwa Ronaldo na umeongeza pamba masikioni.
Hapa tunakosoa kila mchezaji haijalishi performance yake.
Tuwe wakweli Ronaldo ni 37yrs old, vitu tunavyoexpect kwake hawezi tupa kwa asilimia zote.
So kuna haja ya kuwa na straika wa kueleweka.
Offensive tuko vibaya, maana mbele wote wana attitude.
Ukiondoa Ronaldo na Cavani ambao wanajua nini cha kufanya, ila ndio hivyo miili imewakataa.
Kubali tu mzee tuna mapungufu offensively, mzee wetu Ronaldo tukubali miaka imeenda, so kusema kuwa mechi nyingine anakua ovyo tunamaanisha wala hatumchukii.
Ila ndio hivyo Bora yeye kuliko Trashford, Masson Kachoyo, Bishoo martial.
Ila tukiwa na mtu kama Haland halina ubishi Ronaldo kuanzia benchi halina mjadala.









Yaani huyu ndio better kuliko coulibally wa napoli....kweli dunia haipo fair kabisa.Maguire??!!!!...Jesus Christ..
Sijui anavaaje kitambaa cha ukapteni.
Sawa ngoja tucheki mechi. Ipo siku utatuelewa.
Heheheheeee hizo kelele hazijaanza leo mkuu, cr7 hajaanza jana kuwa prove watu wrong, mwisho wa siku utabaki kusema umri umeenda lkn sababu ya msingi huna.Sawa ngoja tucheki mechi. Ipo siku utatuelewa.
Aisee what a kind of appreciation from all over the world he received. It's impressive.Reds past and present have delivered their birthday messages to Sir Alex
manutd |
#GGMUView attachment 2064580View attachment 2064581View attachment 2064582View attachment 2064583View attachment 2064584View attachment 2064585View attachment 2064586View attachment 2064587View attachment 2064588View attachment 2064589
Lakini ni mtu aliyeleta tabia ya hovyo kwenye timu ya kujiangusha angusha na kutokukaba akipoteza mpira. huyu Ronaldo mi ningekuwa RR napiga benchi.Cr7 ana njaa ya mafanikio, anapambana kuleta ari kwenye timu, kuna mda akikosa goli unaona jinsi anavyojilaumu, hiyo pekee inatosha kuleta funzo kwa wachezaji wengine pale Utd.
Yani upige bench Ronaldo kwa wachezaji gani waliopo United wa kucheza hiyo namba kumzidi Ronaldo?Lakini ni mtu aliyeleta tabia ya hovyo kwenye timu ya kujiangusha angusha na kutokukaba akipoteza mpira. huyu Ronaldo mi ningekuwa RR napiga benchi.