Hakunipa Mimi matumaini,Bali bodi ya timu na mashabiki pia Na ndo maana akawa anaongezewa muda mpaka kufika miaka mitatu Kwa matumaini ya kuwa Kuna siku atafanya vizurii na Yote ni kutokana na matokeo aliyo kuwa akiyapata nyuma,Kwa kufika nusu fainal euroapa Ligi,fa cup,na Kombe la Ligi,kufika fainal licha ya kupoteza mbele ya Villarreal,kumaliza nafasi ya tatu,msimu uliopita nafasi ya pili.
Lakini huyu Mzee asipobadilika na KUENDELEA na gengen dressing Kwa wachezaji wa united ataishia nafasi ya 8 au ya 9 na mashindano mengine hatofika mbali.