Tatizo halijabadirika sawa, lakini mfumo wa timu umebadirika. sasa tunalalamika anatakiwa sijui holding midfielder, lakini hata akija wa kutoka sayari ya mars atachemsha kama akicheza na Ronaldo huyu wa sasa.
Pale mbele kocha kawaweka wawili, 4-2-2-2, lakini ukiangalia body na verbal language zake ni kama analazimisha wacheze 4-2-2-1-1.
Alafu yeye mwenyewe ha hold mipira, ni mtu wa kujiangusha na kubutua butua, mpaka afanye meangful attempt au afunge ni ama mpira umkute kwenye penalty box, au atanguliziwe awe yeye na kipa, one on one lazima ajiangushe.
matokeo yake, kumpasia Ronaldo Mpira ni kama kuwapa wapinzani.