John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Hawa jamaa Kwa jinsi walivyocheza n Norwich. Na game ya Brentford ilikuja after 2 days isinge kuwa covid cases walikuwa wanakufaSpurs ,united wanajifucha kwenye kivuli cha covid ....ingieni uwanjani mkapambane kudadekii ...
Sio mnalilia kuahirisha match bila sababu maalumu mamaee![]()


imekuja kama blessing in disguise
