Nimeshangaa sana mkuuAnataka kutuaminisha kwamba Mnyama CR7 ni kilandege kama yeye




Huyo kwasasa hata ukimuacha yeye na kipa hafungi, zaidi atapopoa maembe tu.jipe moyo ila cjaona bek wa kumkaba suarez
Sent using motorola 78
Mimi ninachojua mdau kwa huu mfumo mpya wa uchezaji chini ya ralf ronaldo msimu ujao ataanzia benchi......ngoja tuoneHAKUNA UBISHI..
Ronaldo amechoka..Anahitaji apenyezewe mipira kwenye njia hakuna lingine analoweza.
Suarez kawa chawa wa Messi mpira hana tenajipe moyo ila cjaona bek wa kumkaba suarez
Sent using motorola 78
Huo mpira ungempita tu huyo mfungaji tayari penati.....maguire duuuh🙌🙌
Kilicho sababisha asiongoze ligi ni nini?Europe nzima hakuna timu inayoweza kuifunga Liverpool.
Unamzungumzia anthony martial au martial art mkuu?Usikufuru mkuu. Namuelewa Ronaldo pia. huyu wa sasa mpira uko mguuni anashindwa kuelewa haufanye nini sababu umemsogolea sana, anapiga shuti anaukosa mpira, Ronaldo huyu uwezo wa kucontrol mpira umeshuka, mipira inamgonga inaondoka, hawezi kupiga chenga, hawezi kugeuka n.k
anakabiliwa na issue ya umri ukijumlisha kwamba analazimika kuhakikisha haumii, anakuwa mzigo.
Yet he is our top scorer.
Ninachokiona, Rashid na Martial wakiimprove asilimia 10% kila mmoja, Ronaldo anakalia benchi.
jokesWell said,Hakuna fluidity kule mbele..mipira inafika na kupotea wewe hulioni hilo..
Mfano juzi kwenye mechi ya Norwich uliona jinsi gani kulikuwa hamna fluidity kule mbele..Ronaldo hawezi hata kugeuka apige pasi kwa mchezaji mwenzake pembeni,huoni hili ni tatizo..
Faida za Ronaldo kwenye kikosi chetu tumeziona na hasara pia zipo kibao..hatuhitaji kubishana kwenye hili.
Hapo kwa Martial bro napinga.
Huyo jamaa kesha fika mwisho wa ujuzi wake.



Siku hizi hakabwi mtu, mchezaji anakabwa na mfumo au patternjipe moyo ila cjaona bek wa kumkaba suarez
Sent using motorola 78
Wanasema biesela aliye changamka
aya maneno nayatunza ad ifikapo mwenz wa2Huyo kwasasa hata ukimuacha yeye na kipa hafungi, zaidi atapopoa maembe tu.



et mwalimu wa klopWanasema biesela aliye changamka



iz nyumbu znajuaga kudanganywa sa mwalm wa klop akafundishe l.moscow





PSG ipo Ufaransa, siyo Uhispania.Ni heri tungebaki na PSG kuliko hao watukutu wa jiji la Madrid.
Mara ya mwisho kukutana nao ilikuwa kwenye kombe la Europa League walituchomoa na wakaenda kushinda kombe hilo wakiwa na Radamel Falcao.
Binafsi sikuwa na wasiwasi na fixture yetu na PSG kwetu PSG ni timu nyepesi sana kuliko Atletico kama tungepangwa na timu yoyote ya Spain ni heri tungepangiwa PSG.
There's no alternative as of now..Cavani ndo huyo pancha,Martial is dead and gone.Well said,
Ila una alternative?
Mpira wa man UTD ni Sawa na mpira wa Leeds UTD,Kukimbia kimbia kwenye pitch,mipira kupotea ndani ya dk chache short on target na short off target chachee huku ball possession zikiwa juu.et mwalimu wa klopiz nyumbu znajuaga kudanganywa sa mwalm wa klop akafundishe l.moscow
Sent using motorola 78