Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Timu lenu mapema sana linadondokea pua.Sio mara ya kwanza kuwa na fixture ngumu kama hii.
Hapo hamna timu ya kuifunga.
Timu lenu mapema sana linadondokea pua.Sio mara ya kwanza kuwa na fixture ngumu kama hii.
Acha historia za kifala mzeee ......So let me get this straight, the last time an english club sacked a legend, hired a German and drew Atletico Madrid in the RO16 they went on to win the Ucl?
N kwamba n roho mbaya au
....anyway umepatia 2PSG ilikuwa mchekelee kabisa..Ni heri tungebaki na PSG kuliko hao watukutu wa jiji la Madrid.
Mara ya mwisho kukutana nao ilikuwa kwenye kombe la Europa League walituchomoa na wakaenda kushinda kombe hilo wakiwa na Radamel Falcao.
Binafsi sikuwa na wasiwasi na fixture yetu na PSG kwetu PSG ni timu nyepesi sana kuliko Atletico kama tungepangwa na timu yoyote ya Spain ni heri tungepangiwa PSG.
Uko sahihi mkuu.Ni heri tungebaki na PSG kuliko hao watukutu wa jiji la Madrid.
Mara ya mwisho kukutana nao ilikuwa kwenye kombe la Europa League walituchomoa na wakaenda kushinda kombe hilo wakiwa na Radamel Falcao.
Binafsi sikuwa na wasiwasi na fixture yetu na PSG kwetu PSG ni timu nyepesi sana kuliko Atletico kama tungepangwa na timu yoyote ya Spain ni heri tungepangiwa PSG.
Hivi Barca wanamuuza huyu dogo kwa sababu ya ukata au mfumo umemkataa?Haidara, Joao Felix na Frankie de jong wote wanapatikana january wanaweza tuongezea nguvu haswa martial akiondoka january
Mkuu de jong hawez kupatikana ,,,, anaangaliwa Kama future ya Barcelona ukichanganya na kina ansu, pedri, gavi n.kHaidara, Joao Felix na Frankie de jong wote wanapatikana january wanaweza tuongezea nguvu haswa martial akiondoka january
Baba ake amesema de jong kuondoka barca kutasaidia barca kusolve financial problem....alafu Xavi mafikiri amemchagua pedri over de jong, kama nipo sahihi, so de jong hana namba na barca wanahitaji pesa kusolve idara nyingine kama ushambuliajiHivi Barca wanamuuza huyu dogo kwa sababu ya ukata au mfumo umemkataa?
Him coming to united is too good to be true.
Baba ake jana usiku amesema.....De Jong father told AD: “Bayern or United? I know Barça need money and a great offer could help, but I don't see that happening. However, 5 best clubs in Europe have called for him”.Mkuu de jong hawez kupatikana ,,,, anaangaliwa Kama future ya Barcelona ukichanganya na kina ansu, pedri, gavi n.k
Ukimuondoa Haidara hao wawili sina imani na gharama zao. Joao miaka miwili iliyopita alisaini mkataba wa miaka 7 mpaka 2026. Atletico walikubali kulipa euro 126M kwa Benfica mpaka sasa hawajamaliza kulipa wanalipa kwa mafungu mafungu walilipa euro 30M awamu ya kwanza maana yake watatuuzia si chini ya euro 90M. Sioni thamani hii kwake.Haidara, Joao Felix na Frankie de jong wote wanapatikana january wanaweza tuongezea nguvu haswa martial akiondoka january
Hapo kwa Martial bro napinga.Usikufuru mkuu. Namuelewa Ronaldo pia. huyu wa sasa mpira uko mguuni anashindwa kuelewa haufanye nini sababu umemsogolea sana, anapiga shuti anaukosa mpira, Ronaldo huyu uwezo wa kucontrol mpira umeshuka, mipira inamgonga inaondoka, hawezi kupiga chenga, hawezi kugeuka n.k
anakabiliwa na issue ya umri ukijumlisha kwamba analazimika kuhakikisha haumii, anakuwa mzigo.
Yet he is our top scorer.
Ninachokiona, Rashid na Martial wakiimprove asilimia 10% kila mmoja, Ronaldo anakalia benchi.
Mkuu Atlético wa sasa sio wale wa enzi za Falcão, hawa wasasa ni vibonde South africa.Ni heri tungebaki na PSG kuliko hao watukutu wa jiji la Madrid.
Mara ya mwisho kukutana nao ilikuwa kwenye kombe la Europa League walituchomoa na wakaenda kushinda kombe hilo wakiwa na Radamel Falcao.
Binafsi sikuwa na wasiwasi na fixture yetu na PSG kwetu PSG ni timu nyepesi sana kuliko Atletico kama tungepangwa na timu yoyote ya Spain ni heri tungepangiwa PSG.
HahahahaaaMkuu Atlético wa sasa sio wale wa enzi za Falcão, hawa wasasa ni vibonde South africa.
PSG wanawatu ambao wakiamua kudai chenji yao lazima uwape, lakini Atlético hawana watu hao.
Lakini kwa nini nakuona kama hautaki kabisa kuzungumzia PRESENT SITUATION.Ligi imeisha? Unajua mkuu nakuheshimu sn usitake nianze kuku doubt.
jipe moyo ila cjaona bek wa kumkaba suarezMkuu Atlético wa sasa sio wale wa enzi za Falcão, hawa wasasa ni vibonde South africa.
PSG wanawatu ambao wakiamua kudai chenji yao lazima uwape, lakini Atlético hawana watu hao.