Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Hii draw gan ,never
Hii draw gan ,never
Ngoja tuone.
Atletico tutapambana nae kwa kila hali, ila last 8 kuvuka itakua mtihani sana.
Ulikua unaelekea kupatia mkuu
Alikuwa roho mbaya na chelsea ndio maana hajapatia.Ulikua unaelekea kupatia mkuu
Huna hata aibu, niseme huna hata akili tu kidogo tu, kutambua ya kwamba hio ilikua mechi ya mchongo au ya kibiashara kati ya mesi mzee na ronaldo, kama zilivyo tuzo za mchongo za Balon O Dor unawajua uefa unawasikia wewe, uefa ndio tifutifu( TFF) ya ulayaDraw imefutwa naona nyinyi kunguni mmeenda kuwalilia uefa kwamba psg ni wa moto.
Wameona hawa wachezaji kwa umri waliofikia wanaweza wasikutane tena😀😀😀Nilitaka nicommemt hivi pia....hiyo mechi ni ya kibiashara zaidi
ugomvi wa wanafamilia hautauweza, acha kupotosha.Daaaah Hahahaaaa yani Ronaldo umemgroup kweye unprofessional players, aaaah kwamba Ronaldo na Rashid ni kitu kimoja?? Seriously Rashid = Ronaldo? 😅😅😅
Kubalini kwamba li team ni la hovyo, na sio kumuangushia mzigo mtu mmoja, mnavyo comment ni kana kwamba sio Manchester United ambayo haina kombe kwa miaka 9 sasa.
Kana kwamba mlikuwa Champions na Sasa Ronaldo ndo amekuja kuwashusha mpaka kweye hiyo hali ya kuitafuta top four kwa torch.
Manchester united ilishakuwa team ya kawaida hâta kabla ya Ronaldo kuja.
Usikufuru mkuu. Namuelewa Ronaldo pia. huyu wa sasa mpira uko mguuni anashindwa kuelewa haufanye nini sababu umemsogolea sana, anapiga shuti anaukosa mpira, Ronaldo huyu uwezo wa kucontrol mpira umeshuka, mipira inamgonga inaondoka, hawezi kupiga chenga, hawezi kugeuka n.kRonaldo ni yule yule mkuu miaka yote hajawahi kubadilika labda ubadilike wewe mkuu, atakukera mechi moja atakufurahisha mechi 10, yuko hivyo miaka yote tangu akiwa mdogo pale Utd.
Umenchekesha mkuu ila ni maoni yako ngoja tuone.Usikufuru mkuu. Namuelewa Ronaldo pia. huyu wa sasa mpira uko mguuni anashindwa kuelewa haufanye nini sababu umemsogolea sana, anapiga shuti anaukosa mpira, Ronaldo huyu uwezo wa kucontrol mpira umeshuka, mipira inamgonga inaondoka, hawezi kupiga chenga, hawezi kugeuka n.k
anakabiliwa na issue ya umri ukijumlisha kwamba analazimika kuhakikisha haumii, anakuwa mzigo.
Yet he is our top scorer.
Ninachokiona, Rashid na Martial wakiimprove asilimia 10% kila mmoja, Ronaldo anakalia benchi.
Leo ipi tena mkuu. Tumefungwa Tano na Riverpool Ronaldo hakufunga, Nne na Leister akafunga kamoja, Nne na wale watoto gani sijui. unazungumzia hari gani aliyoleta Ronaldo?Bruno tulikuwa naye na bado tukawa hovyo japo ni kweli alikuwa anafunga, Mana alikua anafunga goli mbili tunafungwa tatu, leo cr7 anafunga moja tunashinda mechi unajua kwnn? Kwasababu wachezaji wana ari cz wanajua ndani kuna mtu mkubwa, lkn pia wachezaji wa upinzani wanahofu na cr7 inapelekea kumkaba zaidi na kusahau kufunga.
Kuhusu Salah na goli 50, hivi kweli mkuu tumefikia kipindi Salah wa kulinganishwa na cr7 kwa uwezo?
History wkt ndio top scorer wako, are you serious mkuu?Leo ipi tena mkuu. Tumefungwa Tano na Riverpool Ronaldo hakufunga, Nne na Leister akafunga kamoja, Nne na wale watoto gani sijui. unazungumzia hari gani aliyoleta Ronaldo?
Ukiondoa mechi tatu za mwisho wa msimu? zile ambazo tulikuwa hatufungwi ugenini, ukaangalia na mechi za msimu huu baada ya ujio wa Ranaldo, chini ya OLE, ni wakati gani wachezaji walikuwa na ari?
Mimi simzungumzii Ronaldo wa history, hatuwezi kwenda mbele kwa kufuata history mkuu.