Kaangalie na game ya liverpool chelsea penati za mchongo tuNimestuka man shit wameanza kununua ushindi ile siyo penalty . hongera kwao penchester city
Hata mimi anapendelea Greenwood kuliko Rashford.Hivi huyu kocha huwa anawaza nini kumuanzisha rashford mbele ya greenwood, kwa nini yeye rashford asimsubir greenwood
Yaani rashford ni kama martial tu, ni kati ya vijana wenye papara kwenye utendaji wao wa kazi, ampe nafasi Mason awaoneshe kazi jinsi inavyofanywa na si hao wakina rashford wanaotuletea utoto kila siku uwanjani

.
Hivi huyu kocha huwa anawaza nini kumuanzisha rashford mbele ya greenwood, kwa nini yeye rashford asimsubir greenwood
Yaani rashford ni kama martial tu, ni kati ya vijana wenye papara kwenye utendaji wao wa kazi, ampe nafasi Mason awaoneshe kazi jinsi inavyofanywa na si hao wakina rashford wanaotuletea utoto kila siku uwanjani
Hili ni jipunga litengwe na jamii kuanzia sasaUnateseka ukiwa wapipambana na hali yako kenge wewe
![]()





Tulia mdau tuachie timu yetu kama hujapendezwaHivi huyu kocha huwa anawaza nini kumuanzisha rashford mbele ya greenwood, kwa nini yeye rashford asimsubir greenwood
Yaani rashford ni kama martial tu, ni kati ya vijana wenye papara kwenye utendaji wao wa kazi, ampe nafasi Mason awaoneshe kazi jinsi inavyofanywa na si hao wakina rashford wanaotuletea utoto kila siku uwanjani
Sio kutopendezwa mzee, inshort utajua nachokimaanisha kama uliiangalia game dhidi ya Crystal PalaceTulia mdau tuachie timu yetu kama hujapendezwa
Msije mkaanza kutukana keshoHii formation hatari sana...View attachment 2040777
Kwa kocha huyu wengi watafungasha virago we tulia tu...Sio kutopendezwa mzee, inshort utajua nachokimaanisha kama uliiangalia game dhidi ya Crystal Palace
Believe haya yote ni majipu kama ilivyo kwa wakina wan bissaka
Hii butua butua siikubali hata kidogoTwende kazi..
Not a good start.
Tuliza tobo hiloKosi la dunia mpaka mda hamna goli