Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpira wetu ni uleule,na mkumbuke tulikuwa OT lakini matumbo yetu yalikuwa moto dakika zote 90!!!Man U ninayoifahamu mimi tulikuwa hatu-struggle kuigonga Arsenal!!!narudia tena Ushindi wetu wa leo usitupe jeuri kwamba sijui timu imebadilika no no no, bado tuna safari ndefu,Penati ile ni michongo tu
Ss baki kule kule kwenye jukwaa lako tutakufuata mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious
 
Tatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious
Unateseka pasipo na sababu arse8, mechi imeisha hiyo.
 
Sawa tufarijiane leo,kesho tusianze kulialia tena humu,Ligi ilipoanza maneno ya matumaini yalikuwa meeeengi humu kwamba tunabeba Ndoo,khaaaa
 
Tatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious
Wewe kweli ni mbuzi, na inaonekana umeumia sana team lako kufungwa.

Unataka shabiki wa Man UTD afurahi team yake ikifanya nini kama unasema ikishinda kama hivi hatutakiwi kufurahi? Ikiwa moira tumecheza na magoli tumefunga na hautaki tufurahi, nini logic ya ushabiki sasa.

Unasema juzi tulipigwa 4 na Watford kwahiyo hatutakiwi kufurahi baada ya kuifunga Arsenal, unailinganishaje Watford na team kama Chelsea , Villarreal na Arsenal ambazo tumecheza nazo bila kupoteza mchezo baada ya Kupigwa 4 ? Bila mabadiliko hâta kigodo hayo yangewezekanaje?

Pole dogo.
 
Tatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious
Kwahiyo utasubiri hadi man u unayo ifahamu ndy ujifariji? Acha zako team ikishapata matokeo sisi kazi yetu kusumbua mtaa.
 
Wewe kweli ni mbuzi, na inaonekana umeumia sana team lako kufungwa.

Unataka shabiki wa Man UTD afurahi team yake ikifanya nini kama unasema ikishinda kama hivi hatutakiwi kufurahi? Ikiwa moira tumecheza na magoli tumefunga na hautaki tufurahi, nini logic ya ushabiki sasa.

Unasema juzi tulipigwa 4 na Watford kwahiyo hatutakiwi kufurahi baada ya kuifunga Arsenal, unailinganishaje Watford na team kama Chelsea , Villarreal na Arsenal ambazo tumecheza nazo bila kupoteza mchezo baada ya Kupigwa 4 ? Bila mabadiliko hâta kigodo hayo yangewezekanaje?

Pole dogo.
Mamluki huyo mpuuzeni.
 
Mamluki huyo mpuuzeni.
Wewe kweli ni mbuzi, na inaonekana umeumia sana team lako kufungwa.

Unataka shabiki wa Man UTD afurahi team yake ikifanya nini kama unasema ikishinda kama hivi hatutakiwi kufurahi? Ikiwa moira tumecheza na magoli tumefunga na hautaki tufurahi, nini logic ya ushabiki sasa.

Unasema juzi tulipigwa 4 na Watford kwahiyo hatutakiwi kufurahi baada ya kuifunga Arsenal, unailinganishaje Watford na team kama Chelsea , Villarreal na Arsenal ambazo tumecheza nazo bila kupoteza mchezo baada ya Kupigwa 4 ? Bila mabadiliko hâta kigodo hayo yangewezeka
 
Wewe kweli ni mbuzi, na inaonekana umeumia sana team lako kufungwa.

Unataka shabiki wa Man UTD afurahi team yake ikifanya nini kama unasema ikishinda kama hivi hatutakiwi kufurahi? Ikiwa moira tumecheza na magoli tumefunga na hautaki tufurahi, nini logic ya ushabiki sasa.

Unasema juzi tulipigwa 4 na Watford kwahiyo hatutakiwi kufurahi baada ya kuifunga Arsenal, unailinganishaje Watford na team kama Chelsea , Villarreal na Arsenal ambazo tumecheza nazo bila kupoteza mchezo baada ya Kupigwa 4 ? Bila mabadiliko hâta kigodo hayo yangewezekanaje?

Pole dogo.
Anajifanya kuingia kwenye uzi kwa kujifanya Man Utd alafu anaponda, man u gani huyu anaponda mpk kushangilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Toka kwenye hicho kichaka!
IMG_20211202_224038-1.jpg
 
Back
Top Bottom