Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afadhali tuko threat zaidi. Angekua masai mabackpasses kama yote. Mmeona hadi De gea kajiunga kupress.

Hapa ndio kocha sasa. Kuua kabisa mpinzani kisaikolojia.

Mechi ijayo ya City pep lazima agawe mbinu sio kuwaambia waache mazoezi hawajui united itachezaje.
 
Leo kwa mara ya kwanza nimeona Maguire anatoa thorough passess kama zote.

Ole alituchelewesha.


Kocha wa sasa ameua defensive mind, now nataka aue Selfishness na Utoto.

Mfano hapo kwa Dalot kulingana na maelekezo naamini alipaswa kupasia aliye kwa postion nzuri.

Kocha adili nao. Akizingua Benchi wajue hamna mwenye timu.
 
Tumeszoeshwa vibaya na ole ndio mana kila game tunaingia na mind set ya kuzuia hivi mnasahau mpira ukiwa mmashambulia na kumiliki Sana mpinzani awezi kukusumbua acheni mentality ya uoga ya defensively dalot bonge la chezaji kwa kocha mzuri mwenye mfumo wa kushambulia ila kwa kudefence bissaka mzuri Sana .ole alikuwa ni mzuiaji tu na tulikuwa tunatoboka hivyo hivyo nadhan mpira ukiumiliki inakuwaga bora hata mpinzani hakushambulii ipasavyo
Na tumecheza vizuri sana kipindi cha kwanza, watu bado wana feelings za Ole wamesahau kabisa kwamba hawa wachezaji wetu wana kiwango kikubwa kuliko wa Palace sema tu kocha aliwaharibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali tuko threat zaidi. Angekua masai mabackpasses kama yote. Mmeona hadi De gea kajiunga kupress.

Hapa ndio kocha sasa. Kuua kabisa mpinzani kisaikolojia.

Mechi ijayo ya City pep lazima agawe mbinu sio kuwaambia waache mazoezi hawajui united itachezaje.
Back passes zilikuwa zinanikera sn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom