Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,030
- 51,571
Correction. Mali hazijaisha ila anatakiwa atafute mali zake. Mali za baba si za kwakeMan utd ni sawa na jamaa ambaye kapigika na maisha ,maisha yamemchapa kweli kweli ,lakin zaman baba yake alikuwa tajiri ....kutwaa ni daily kuwambia watu baba yake alikuwaga tajiri anamiliki magari na kampuni ....
Amesahau kuwa anatakiwa kujipigania kwa Sasa Kwan baba yake hayupo Tena ,na mali zimeshaisha![]()





— Rangnick's message to fans: