Mara ya mwisho kuwafunga hawa Palace pale OT ilikuwa 2017.Hata hivyo mechi tano zilizopita hapo OT man u hajawahi shinda zote.
Ndo maana nimekuwa na wasiwasi..It will not be interesting for united fans. Tutapata aibu hapo.
Kikosi nilivyoona dalot in nimeishiwa na nguvuMnasemaje wadauView attachment 2033875
Naona plan ya kocha haijalenga zaidi kudefend, Dalot kwenye attacking ni mzuri kuzidi Bissaka.SIJAJUA KWA NINI MAKOCHA HAWA WANAPENDA KU-RISK KIASI HIKI..DALOT ANAANZAJE? HUYU KOCHA MGENI NADHANI HAMJUI VIZURI ZAHA. DALOT ATABURUZWA SANA.
Ha ha haaa haaaaa kumbe tunasomana kimyakimya.Watu wa Liverpool wanadharau sana,wanamuita Don Rangnick kuwa ni Bielsa wa Kijerumani.
Hawana kikosi cha kucheza gegenpressingTulieni si mnataka gegenpressing.




Yaani Alexander Arnold, Robertson, James Milner, Henderson na wajinga wajinga wengine waweze halafu wachezaji wetu sisi walivyo ndio washindwe!?Hawana kikosi cha kucheza gegenpressing![]()
Tunacheza vizuri....tufunge magoli sasaNot bad..
Wakuu naomben link ya kustream live