mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,697
Yani OT arsenal mapema hii...??
Nimewaza hilo. Keeper huwa analindwa sana. VAR ndipo nashindwa kuielewaSo goalkeeper yuko injured(haijalishi kaumizwa na nani), kalala hata hayupo mchezoni, how come goal linastand??
Ngapi ngapi huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyumbu kisha kula 0-1
Tabia ya kupoteza mipira inakeraFred anachocheza anakijua mwenyewe..