mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Yani OT arsenal mapema hii...??
Nimewaza hilo. Keeper huwa analindwa sana. VAR ndipo nashindwa kuielewaSo goalkeeper yuko injured(haijalishi kaumizwa na nani), kalala hata hayupo mchezoni, how come goal linastand??
Tabia ya kupoteza mipira inakeraFred anachocheza anakijua mwenyewe..