Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mKuu mimi kwa ufahamu wangu hizo rangi humaanisha Bendera ya Mashoga na Wasaganaji ko kuwepo hapo mimi nahisi ni kama wanafanya jitihada za kuunga Mkono harakati za ushoga na Usaganaji duniani Pia niliona hata kwenye UEFA Nation walikuwa wanavaa hizi mambo mpaka ilifikia kipindi Emmanuel Nuer kama sikosei aligoma kivaa hichi kitambaa sababu Ujerumani hairuhusu ushoga kitu kama hicho kama niko sawa.
Kwanini vitambaa vya unaodha vina rangi hiyo?
 
Ningependa turejee kama mwanzo tujadili mpira kwa lugha ya staha.

Haya mambo ya matusi au lugha za kebehi tuziweke kando.

Najua wapo watu wa mpira bahati mbaya leo niko Safari sikuangalia mechi ya leo.Lingekuwa jambo la maana kama wangekuja wadai wa mpira kutuelezea kuhusu game plan,mbinu na nk. Kwa Team zote.

Wadau wa mpira ebu turejeshe heshima ya jukwaa letu pendwa tuzungumze mambo ya maana tuachane na masuala ya utoto.
 
Anaeongoza Ligi amepata drop kwa kuonesha Moira mzuri lakini bado anashambuliwa. Kwa kiwango like Cha Man Utd bado kunahitajita kazi ya Ziada ili iweze kuleta ushindani kwa top temas.

Hongereni ndugu kwa kupata drop darajani, bado mechi nyingi mbele muda ni mwalimu.
Ndy kwanza umeanza kutumia smart phone? Mbona unaandika mikojo kiasi hiki?
 
mKuu mimi kwa ufahamu wangu hizo rangi humaanisha Bendera ya Mashoga na Wasaganaji ko kuwepo hapo mimi nahisi ni kama wanafanya jitihada za kuunga Mkono harakati za ushoga na Usaganaji duniani Pia niliona hata kwenye UEFA Nation walikuwa wanavaa hizi mambo mpaka ilifikia kipindi Emmanuel Nuer kama sikosei aligoma kivaa hichi kitambaa sababu Ujerumani hairuhusu ushoga kitu kama hicho kama niko sawa.
Mkuuu wala hujakosea uko sawa kabisa taratibu naaanza kuacha kupenda mpira kabisaaa kma mambo menyewe ndio hayo wazungu ni washenzi sana
 
Adjustments.jpg
 
Hii table hao watatu hapo juu ....

Tuchel
Pep
Klopp


Mwenye consistency ndie atachukua epl ...

Liverpool afcon inaweza mtelezesha ....

Tuchel kiwango cha wachezaji Kama kina drop vile....

Pep anasprit flani ya kumantain mwezi January - February .....kachukua epl mara 2 kwa kupiga gap hio miez..
 
Man United centre back Eric Bailly confirms to Laurens Julien: “Yes, we’ve been told in the dressing room about the arrival of the new manager”, he told RMC Sport. #MUFC

Work in progress on contracts side this weekend in order to announce Ralf Rangnick arrival.

manutd |
#GGMU
 
Ningependa turejee kama mwanzo tujadili mpira kwa lugha ya staha.

Haya mambo ya matusi au lugha za kebehi tuziweke kando.

Najua wapo watu wa mpira bahati mbaya leo niko Safari sikuangalia mechi ya leo.Lingekuwa jambo la maana kama wangekuja wadai wa mpira kutuelezea kuhusu game plan,mbinu na nk. Kwa Team zote.

Wadau wa mpira ebu turejeshe heshima ya jukwaa letu pendwa tuzungumze mambo ya maana tuachane na masuala ya utoto.
Siku hizi watoto wapumbavu ndo wamejaa humu.

Na imesababisha wadau wa Man Utd kuondoka.

Wamebaki na ujinga na matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo jana tumeshambuliwa lakini hatukuwa wide open sana kwa mechi nyingine chini la Ole..

Mfano ile game la Liverpool,yaani kila baada ya muda kidogo mchezaji wa Liva yupo macho kwa macho na De Gea.

I'm happy to see Sancho gaining some confidence..Sancho nina imani nae kubwa sana tu bado kwenye upande wetu huu wa kulia.

Fred amekomaa sana jana ila ameshindwa kutupa goli la ushindi..
 
Back
Top Bottom