Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sancho anamchosha Bissaka, anakabia katikati almost kwenye dimba, Alonso anajiendea tu.
Rashidi yeye anakabia macho dah noma.

Matic asirudi, weka bench Rashford ingiza Greenwood.

Anyway tukishinda itakua tumeokota papai kwenye mzambalawe.
 
Mkuuu waipata wap maana hesgol kwakel mateso
Showmax ni ya DSTV, bora tumia app ya live football tv

Screenshot_20211128-202525_One UI Home.jpg
 
Sancho anamchosha Bissaka, anakabia katikati almost kwenye dimba, Alonso anajiendea tu.
Rashidi yeye anakabia macho dah noma.

Matic asirudi, weka bench Rashford ingiza Greenwood.

Anyway tukishinda itakua tumeokota papai kwenye mzambalawe.
Ongea kwa sauti nyumbu wenzako wakusikie...
 
Poor united ...

Wachezaji hawana nguvu ,hawajui kupress ....

Sijui wanekula makande kudadekiiiiiii


Huyo Chelsea anatakiwa kusimamishwa kabla ya December ili tukikutana round ya pili tunapiga buti moja city tunawasha gari mpaka may epl iko chumbani pale Etihad .....
 
Sancho anamchosha Bissaka, anakabia katikati almost kwenye dimba, Alonso anajiendea tu.
Rashidi yeye anakabia macho dah noma.

Matic asirudi, weka bench Rashford ingiza Greenwood.

Anyway tukishinda itakua tumeokota papai kwenye mzambalawe.

Atoke Rashford Aingie CR7
Toa Tommy Weka Van De Beek
Toa Sancho lete Greenwood
 
Poor united ...

Wachezaji hawana nguvu ,hawajui kupress ....

Sijui wanekuka makande kudadekiiiiiii
Hawa ni ndugu zako unatoka nao jiji moja mbona unawafanyia hivo?

Wasapoti bhana.

Mbona mimi nawasapoti walondon wenzangu Arsenane?
 
Hivi tunashindwa nini kupiga walau pass 4/5 kwenda mbele wakati tunatengeneza mashambulizi?
Tumekuwa kama burnley inacheza na prime liverpool au city!
Hawa ni chelsea tu wenye chalobah,odoi,loftus-cheek lakini tunashindwa kuwamiliki kiuchezaji!
 
Hivi tunashindwa nini kupiga walau pass 4/5 kwenda mbele wakati tunatengeneza mashambulizi?
Tumekuwa kama burnley inacheza na prime liverpool au city!
Hawa ni chelsea tu wenye chalobah,odoi,loftus-cheek lakini tunashindwa kuwamiliki kiuchezaji!
Wachezaji unao Sasa?
 
Kama ni kocha mzuri ktk kutengeneza mfumo mzuri Wa kiuchezaji kama anavyosemwa kwa nini wasimpe mkataba Wa kudumu tu!!?
Nadhani yeye anapenda zaidi kuwa DoF na sio kocha moja kwa moja.

Na ndo maana mkataba wake ulihusisha kuwa consultant baada ya kipindi cha muda kufika.

Nadhani angeambia awe kocha au DoF, angechagua DoF na angekataa kuwa kocha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sancho anamchosha Bissaka, anakabia katikati almost kwenye dimba, Alonso anajiendea tu.
Rashidi yeye anakabia macho dah noma.

Matic asirudi, weka bench Rashford ingiza Greenwood.

Anyway tukishinda itakua tumeokota papai kwenye mzambalawe.
Lakin huyo huyo sancho sikawaweka mjini?
 
Back
Top Bottom