Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio mwalimu wa Klop na Tuchel sasa huyo

By the way Ragnick ana makombe 7 kwenye carrier yake

Na kufundisha timu kama Stuttgart, Hoffenheim, Leipzig sio rahisi kupata makombe huko, hata Pep angeenda kuwa kocha na msaidizi wake awe Klop na Tuchel awe kocha wa viungo wasingepata kombe hata la bata

Kama huamini muulize Klop aliyeishusha daraja Mainz na muulize Tuchel aliyekuwa na kombe 1 (German Cup, ambalo Ragnick kachukua pia) akiwa Dortimund

Makombe mengine Tuchel amechukua akiwa PSG ambapo ilimchukua Pochetino (kocha ambaye alikuwa hajawahi kubeba kombe) siku 6 tu kupata kombe lake la kwanza

Ragnick ni philosopher, trainer of the trainers and a coach of Manchester United.

Inauma but itabidi uzoee

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Aisee umemjibu kisomi na kiufundi kabisa huyo mshamba
 
Ronaldo bechi sijui kawaza nini damu changa zimejaa leo.
Screenshot_20211128-183251.jpg
 
Labda tunamtafsiri vibaya Bruno.

Inawezekana kutokushangilia kwake alifanya hivyo kuonyesha sadness kwamba manager aliyemleta pale amekua sacked.

Ukweli anaujua yeye. Tusi judge
Tatizo tuna judge sana wachezaji kwa kuwaangalia, muda mwingine tunauchukulia mpira kama tunacheza play station au PES vile, wachezaji nao ni binadamu wanapitia mengi na wana hisia pia, mchezaji unaeza kuta hata mama yake anaumwa anaona sio issue kushangilia sisi tukajudge anataka kuhama
 
Kuna kitu nimekiona kuhusiana na kikosi chetu.
Wenda Carrick anayajua matatizo ya beki zetu za kati ndio maana kaamua kuja na viungo wengi wa kabaji ili kuwalinda akina Bailey.

Nilianza kulaumu kikosi, lakini ghafra nimebadili msimamo, kikosi kiko poa kuliko tunavyo dhani.
 
Sasa hivi bado hamjamuelewa vizuri carrick

Subiri dakika za 70 mkianza kutuma matusi humu, ndio mtakua mmemuelewa
 
Kuna kitu nimekiona kuhusiana na kikosi chetu.
Wenda Carrick anayajua matatizo ya beki zetu za kati ndio maana kaamua kuja na viungo wengi wa kabaji ili kuwalinda akina Bailey.

Nilianza kulaumu kikosi, lakini ghafra nimebadili msimamo, kikosi kiko poa kuliko tunavyo dhani.
Kujifariji
 
Kwa upangaji wa kikosi kwa mechi ya leo,ninaona kabisa Carrick anaudhubutu wa kujaribu mbinu na wachezaji kulingana na adui anayemkabili kuliko Ole. Kwa hili nampongeza bila kujali matokeo yatakuaje hapo baadae.
Au kuna mkono wa Don Rangnick?
Na mm nmehisi hvyo, Rangnick anahusika, nahisi ndio formula tutakayoitumia hii. Alafu naona kabisa Carrick ataendelea kuwa kocha msaidizi.
 
Back
Top Bottom