Aisee umemjibu kisomi na kiufundi kabisa huyo mshambaNdio mwalimu wa Klop na Tuchel sasa huyo
By the way Ragnick ana makombe 7 kwenye carrier yake
Na kufundisha timu kama Stuttgart, Hoffenheim, Leipzig sio rahisi kupata makombe huko, hata Pep angeenda kuwa kocha na msaidizi wake awe Klop na Tuchel awe kocha wa viungo wasingepata kombe hata la bata
Kama huamini muulize Klop aliyeishusha daraja Mainz na muulize Tuchel aliyekuwa na kombe 1 (German Cup, ambalo Ragnick kachukua pia) akiwa Dortimund
Makombe mengine Tuchel amechukua akiwa PSG ambapo ilimchukua Pochetino (kocha ambaye alikuwa hajawahi kubeba kombe) siku 6 tu kupata kombe lake la kwanza
Ragnick ni philosopher, trainer of the trainers and a coach of Manchester United.
Inauma but itabidi uzoee
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app

Ngoja inyeshe tujue wapi panapovujaAisee umemjibu kisomi na kiufundi kabisa huyo mshamba![]()
Tatizo tuna judge sana wachezaji kwa kuwaangalia, muda mwingine tunauchukulia mpira kama tunacheza play station au PES vile, wachezaji nao ni binadamu wanapitia mengi na wana hisia pia, mchezaji unaeza kuta hata mama yake anaumwa anaona sio issue kushangilia sisi tukajudge anataka kuhamaLabda tunamtafsiri vibaya Bruno.
Inawezekana kutokushangilia kwake alifanya hivyo kuonyesha sadness kwamba manager aliyemleta pale amekua sacked.
Ukweli anaujua yeye. Tusi judge

Ushauri wa bure....Wewe kama ni shabiki wa Man u usiende kule kwenye vibanda umiza utaaibika sana![]()



Saa ngapi tunaanza kumlaumu kocha?Huyu Carrick hiki kikosi vipi huyu, mbn anataka lawama za bure huyu.View attachment 2026359
Hichi kikosi cha kupeana lawama tu.Ronaldo bechi sijui kawaza nini damu changa zimejaa leo.View attachment 2026357
Matic,lindelof,baily,bisaka uchochoro wetu wa leoHuyu Carrick hiki kikosi vipi huyu, mbn anataka lawama za bure huyu.View attachment 2026359


KujifarijiKuna kitu nimekiona kuhusiana na kikosi chetu.
Wenda Carrick anayajua matatizo ya beki zetu za kati ndio maana kaamua kuja na viungo wengi wa kabaji ili kuwalinda akina Bailey.
Nilianza kulaumu kikosi, lakini ghafra nimebadili msimamo, kikosi kiko poa kuliko tunavyo dhani.
Anataka kudefend zaidi ndio maana kaanza na viungo wakabaji watatu chezea Chelsea wewe si ya mchezo kabisa lazima kocha wako aogopeHuyu Carrick hiki kikosi vipi huyu, mbn anataka lawama za bure huyu.View attachment 2026359
Na mm nmehisi hvyo, Rangnick anahusika, nahisi ndio formula tutakayoitumia hii. Alafu naona kabisa Carrick ataendelea kuwa kocha msaidizi.Kwa upangaji wa kikosi kwa mechi ya leo,ninaona kabisa Carrick anaudhubutu wa kujaribu mbinu na wachezaji kulingana na adui anayemkabili kuliko Ole. Kwa hili nampongeza bila kujali matokeo yatakuaje hapo baadae.
Au kuna mkono wa Don Rangnick?