Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Baily awe kitasa hivyo hivyo hadi dakika ya 90Kikosi safi sana hiki, timu kali kama Chelsea inahitaji kitasa kama Baily. Nimependa pia amemrudisha Phil Jones, hawa wakongwe wana akili kubwa sana. Matic ni mzito lakini ana vijana wepesi wawili kushoto na kulia kwake, hakuna kitu kitaharibika hapo kati.
Ingawa nadhani nafasi ya McSauce alitakiwa kuanza Don van de Beek halafu kama tukiwa bado mchezoni,Ronaldo aingie kuanzia dakika ya 50-60 hivi.Na mm nmehisi hvyo, Rangnick anahusika, nahisi ndio formula tutakayoitumia hii. Alafu naona kabisa Carrick ataendelea kuwa kocha msaidizi.
Leo tunawapiga 2 msije kusema sijawaambia.Mechi hii haitabiriki View attachment 2026402
Na tukiwapiga hawa tunachukua ubingwaLeo tunawapiga 2 msije kusema sijawaambia.
Sancho ana spidi?Aliyepanga kikosi cha united amechagua timu kama vile anacheza game ya fifa 21.
Ameamua kurely kwenye speed ya Sancho na Rashford.
On target mpka ss 2 ChelseaSancho ana spidi?