Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Na chupi tuikute juu ya kamba.Msije sema hamkuambiwa View attachment 2025491
Na chupi tuikute juu ya kamba.Msije sema hamkuambiwa View attachment 2025491
History ya new coaches inatubeba, usije sema sijakuambia.Msije sema hamkuambiwa View attachment 2025491
Chelsea msimu Huu iwe Uefa ama ligi au michuano yoyote hajawahi kuruhusu goal kuanzia 2 kwenye mechi moja litafakari Hili kwanza japo kakutana na team zenye safu nzuri ya ushambuliaji kama Liverpool, Man city n.kKesho Chelsea 2 Man td 3
Record zipo kwaajili yakuvunjwa hiyo haiwezi kufanya kazi kea chelseafc hiiHistory ya new coaches inatubeba, usije sema sijakuambia.
Naamini hawa akina Carrick na wenzie hawana maisha marefu baada ya miezi 6 kumalizika. Kitu kilichofanya wahakikishiwe kazi zao na kilaza Ed Woodward baada ya kumfuta kazi Ole ni kwa ssb kilaza Ed hakuwa na backup plan endapo project ya Ole ingefeli. Hapa nimewahi kuelezea vizuri ukiwa na mtu mwenye uwezo mdogo ktk nafasi ya Ed (football executive/chief strategist) hauwezi kufanya vizuri hata uwe na pesa kama za Jeff Bezos.what if the new Manager fails to implement the consultant's advice, or he simple has a different belief or subsequent to recruitment he develop a different belief.
Nimesoma pia, board inamlazimisha afanye kazi na Michael pamoja na Phelan, na inampango wa kuwapa hao jamaa permanent coaching contracts, permanent in that, contract with no time limit, eti kwa sababu they have invested alot on them.
Na nimemsoma Michael anasema when the new Manager come, he will be very successful because he will find a strong foundation built by OLE, Michael and Phelan.
hivi hatuoni an imminent next managerial crisis hapa?
Mi naanza kuona kama OLE amekuwa kama scape goat tu, the real source of problem is still obscure or is being skirted. Kuna watu pale OT wanainfluence kubwa na wamedhamiria ideologies zao ni lazima ziprevail.
Labda tunamtafsiri vibaya Bruno.
Inawezekana kutokushangilia kwake alifanya hivyo kuonyesha sadness kwamba manager aliyemleta pale amekua sacked.
Ukweli anaujua yeye. Tusi judge
Sasa leo Kisafishe kiboga hikoChelsea msimu Huu iwe Uefa ama ligi au michuano yoyote hajawahi kuruhusu goal kuanzia 2 kwenye mechi moja litafakari Hili kwanza japo kakutana na team zenye safu nzuri ya ushambuliaji kama Liverpool, Man city n.k
Dogo wa manshit unamaliza mitihani kumbeMpaka Sasa kitu kimechozuia man united asipigwe na Chelsea ni masaa tu ...!
Mtihan Tena ....leo umevurigwa mapema kabla Chelsea hajawapelekea Moto ..!Dogo wa manshit unamaliza mitihani kumbe
Maguire ana red kua mpoleNataman Sana mmufunge Chelsea boya yule ili tumfikie point .....
Lakini nyie mlivo vilaza ,utaona ukilaza wa magwaya alivo falaaa ,kutoa maboko tu ....
Utaona ukilaza wa kina rashford leo na......
Yaan hii timu kuisupport inatakiwa uwe mvuta bangi kweli kweli ......