Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Mkuu kuna Redbull na Resen ball sports kama skoseiRB clubs....
Halaand alitoka Salzburg ambao nao wako na Redbull kama Lepzig
Mkuu kuna Redbull na Resen ball sports kama skoseiRB clubs....
Halaand alitoka Salzburg ambao nao wako na Redbull kama Lepzig
Glory Glory Manchester UnitedRagnick, kocha mpya wa Manchester United
Ralf Ragnick ni kocha wa kijerumani mwenye umri wa miaka 63 ambaye kwa sasa anafanya majukumu ya "Sporting Director" katika klabu ya Ligi Kuu ya Lokomotiv Moscow, Urusi.
Amefundisha timu kadhaa ikiwemo Stuttgart, Schalke, Hoffenheim & RB Leipzig.
Nje ya ukocha, mbali na Lokomotiv Moscow, pia amefanya kazi ya "Sporting Director" katika vilabu vya RB Salzburg & RB Leipzig.
Timu kubwa barani Ulaya kama AC Milan, Liverpool, Tottenham na Chelsea baada ya kumfukuza Lampard zimewahi kumuhitaji awe mkufunzi wao lakini ikashindikana kutokana na sababu mbalimbali. Mfano Chelsea walimuhitaji awe kocha atakayemalizia msimu wa 2021. Ragnick aliwajibu yeye sio kocha wa muda mfupi, ili ashawishike kuwa kocha wa muda mfupi kwenye klabu yoyote anahitaji mradi wa kipekee.
Aina ya soka la Ragnick ni kila mchezaji uwanjani kufanya jukumu alilopewa, kufanya counter pressing pindi timu inaponyang'anywa mpira na kukabia juu ya uwanja ili timu inapopokonya mpira iwe karibu na goli la mpinzani na kuwe na wapinzani wachache wanaolinda (maana wote walikuwa wanawaza kwenda kushambulia). Ragnick anapenda mpira wa intensity na possession.
Si ajabu kwamba Klop, Nagelsman, Tuchel na makocha wengine wengi wakubwa wanatajwa kujifunza mbinu za mwalimu Ragnick hususani kwenye Gegenpressing approach na makocha wote kwa nyakati tofauti wamewahi kukiri hilo.
Katika moja ya interview zake Ragnick alisema anapenda timu yake ikabie juu na ipokonye mpira haraka na ndani ya sekunde 8 hadi 10 wawe wamekwenda kumsalimia golikipa wa timu pinzani. Pia alisisitiza umuhimu wa kufanyia kazi mipira ya set pieces kwani 30% ya magoli yote ni zao la set pieces.
Kwa wengi Ragnick anaonekana kama kocha/mtawala kwenye soka ambaye anafaa zaidi kwenye ku transform timu kupitia usajili bora, kuleta & kuibua vipaji klabuni, kuimarisha mental state za wachezaji na kuipa klabu aina ya uchezaji (identity).
Kwa pale United Ragnick anategemewa kuja kufundisha kwa kipindi kilichobaki mpaka msimu utakapokwisha na baada ya hapo atabaki kuwa Mshauri kwa mkataba wa miaka 2. Na baada ya kibarua chake kuisha mwisho wa msimu kazi yake ya kwanza itakuwa ni kuishauri Man Utd kuteua kocha atakayeleta kile mashabiki ambacho wamekuwa wakikitaka kwa miaka kadhaa.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ragnick, kocha mpya wa Manchester United
Ralf Ragnick ni kocha wa kijerumani mwenye umri wa miaka 63 ambaye kwa sasa anafanya majukumu ya "Sporting Director" katika klabu ya Ligi Kuu ya Lokomotiv Moscow, Urusi.
Amefundisha timu kadhaa ikiwemo Stuttgart, Schalke, Hoffenheim & RB Leipzig.
Nje ya ukocha, mbali na Lokomotiv Moscow, pia amefanya kazi ya "Sporting Director" katika vilabu vya RB Salzburg & RB Leipzig.
Timu kubwa barani Ulaya kama AC Milan, Liverpool, Tottenham na Chelsea baada ya kumfukuza Lampard zimewahi kumuhitaji awe mkufunzi wao lakini ikashindikana kutokana na sababu mbalimbali. Mfano Chelsea walimuhitaji awe kocha atakayemalizia msimu wa 2021. Ragnick aliwajibu yeye sio kocha wa muda mfupi, ili ashawishike kuwa kocha wa muda mfupi kwenye klabu yoyote anahitaji mradi wa kipekee.
Aina ya soka la Ragnick ni kila mchezaji uwanjani kufanya jukumu alilopewa, kufanya counter pressing pindi timu inaponyang'anywa mpira na kukabia juu ya uwanja ili timu inapopokonya mpira iwe karibu na goli la mpinzani na kuwe na wapinzani wachache wanaolinda (maana wote walikuwa wanawaza kwenda kushambulia). Ragnick anapenda mpira wa intensity na possession.
Si ajabu kwamba Klop, Nagelsman, Tuchel na makocha wengine wengi wakubwa wanatajwa kujifunza mbinu za mwalimu Ragnick hususani kwenye Gegenpressing approach na makocha wote kwa nyakati tofauti wamewahi kukiri hilo.
Katika moja ya interview zake Ragnick alisema anapenda timu yake ikabie juu na ipokonye mpira haraka na ndani ya sekunde 8 hadi 10 wawe wamekwenda kumsalimia golikipa wa timu pinzani. Pia alisisitiza umuhimu wa kufanyia kazi mipira ya set pieces kwani 30% ya magoli yote ni zao la set pieces.
Kwa wengi Ragnick anaonekana kama kocha/mtawala kwenye soka ambaye anafaa zaidi kwenye ku transform timu kupitia usajili bora, kuleta & kuibua vipaji klabuni, kuimarisha mental state za wachezaji na kuipa klabu aina ya uchezaji (identity).
Kwa pale United Ragnick anategemewa kuja kufundisha kwa kipindi kilichobaki mpaka msimu utakapokwisha na baada ya hapo atabaki kuwa Mshauri kwa mkataba wa miaka 2. Na baada ya kibarua chake kuisha mwisho wa msimu kazi yake ya kwanza itakuwa ni kuishauri Man Utd kuteua kocha atakayeleta kile mashabiki ambacho wamekuwa wakikitaka kwa miaka kadhaa.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app




Suala la Silva kuondoka nahisi linahusiana na maswala ya mkataba....ndo maana Silva mwenyewe aliishangaa psg walimuacha aondoke Afu wakamchukua Ramos mwenye umri mkubwa kama wake.....kuhusu ubora halipingiki Silva is way above hao kina Maguire beki ghali zaidi duniani mliouziwa na matapeliUsikute unamsema Maguire kichwa kikubwa, wewe una pua kama ya Baba Levo, jenga hoja, acha ku attack personality ya mtu
Kuchukua Champions League sio kigezo, hata Werner amechukua Champions League na Lukaku hajachukua, lakini shabiki timamu yoyote wa Chelsea atamchagua Lukaku kwenye timu yake na si Werner
Huyu Silva si ndio PSG wamemkataa, na wakamchukua Ramos?
Silva is just a Farmers League reject
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
....Imebaki moja tu hapaRalf anafaa sana kilichobaki ni kusecure deal na kocha wa ajax afu ralf anakuwa director wa football
Manguire ana kichwa kikubwa kama Transfoma.
Manguire anatoa maboko sana uwanjani kwa sababu kichwa chake kinachukua wiki nzima kuchakata maelekezo ya kocha uwanjani
Wiki inayofuata akiingia uwanjani anafanyia kazi maelekezo ya mechi ya wiki iliyopita ndio maana anaendelea kutoa maboko.
.. Afu anamponda Silva ilhali yy yupo na Maguire Mzee wa no look defenseLingard mnamuonea tu, ila anachonifurahisha akitoka Man U anaenda anachafua kichizi, akipata kocha mzuri atawasumbua pale EPL trust meAondoe mizigo ss, kina Matic, Martial, Lingard wanakula pensheni tu pale.
Manguire ana kichwa kikubwa kama Transfoma.
Manguire anatoa maboko sana uwanjani kwa sababu kichwa chake kinachukua wiki nzima kuchakata maelekezo ya kocha uwanjani
Wiki inayofuata akiingia uwanjani anafanyia kazi maelekezo ya mechi ya wiki iliyopita ndio maana anaendelea kutoa maboko.

fala weweHa ha ha.. Afu anamponda Silva ilhali yy yupo na Maguire Mzee wa no look defense

Ha ha ha nimecheka sana hii kitu mzeeManguire ana kichwa kikubwa kama Transfoma.
Manguire anatoa maboko sana uwanjani kwa sababu kichwa chake kinachukua wiki nzima kuchakata maelekezo ya kocha uwanjani
Wiki inayofuata akiingia uwanjani anafanyia kazi maelekezo ya mechi ya wiki iliyopita ndio maana anaendelea kutoa maboko.
MatapeliSuala la Silva kuondoka nahisi linahusiana na maswala ya mkataba....ndo maana Silva mwenyewe aliishangaa psg walimuacha aondoke Afu wakamchukua Ramos mwenye umri mkubwa kama wake.....kuhusu ubora halipingiki Silva is way above hao kina Maguire beki ghali zaidi duniani mliouziwa na matapeli....
Tujadili soka gani wewe mwana apolo ..hapa hakuna Cha kujadili ..jumapili tunakub*ka bao tatu za nguvu ..sisi hatuna muda wa kujadili soccer na nyumbusz😀😀😀Tupa kishoya kwanza tujadili Soccer.
Nakazia hapo kwenye TUNAKUB*KA.Tujadili soka gani wewe mwana apolo ..hapa hakuna Cha kujadili ..jumapili tunakub*ka bao tatu za nguvu ..sisi hatuna muda wa kujadili soccer na nyumbusz![]()
mzee upatu ifikapo jpl jioni utalikimbia jukwaaNakazia hapo kwenye TUNAKUB*KA.
Ngoja juma pili ifike.
Siwezi kutabili, sababu sio professional yangu.
I co-sign this. Phil Jones pia.Aondoe mizigo ss, kina Matic, Martial, Lingard wanakula pensheni tu pale.
Kwa mpira anaopendelea yeye, Lingard anaweza kuwa favourite kwakeAondoe mizigo ss, kina Matic, Martial, Lingard wanakula pensheni tu pale.