Naona kama unazungumzia " a feeling of Deja vu"Mkuu maisha ya binadamu huwa yapo kama yamepangwa hivi kwa kuzingatia matukio fulani ambayo mtu unaona kabisa kama yamewekwa au yanajirudia....
Ile final ya man u na bayern ile sio coincidence ni ilipangwa man u wawe mabingwa kwa njia yoyote....
Ushawahi kwenda sehemu na kuhisi ushawahi fika pale ila kiukweli hujawahi fika....
Au ushawahi kutana na mtu mkaongea ila ghafla ukakumbuka maongezi hayo ushawahi yafanya na unajua hadi mhusika atajibu nini na kweli anajibu vilevile....
Mtaje unayemtakaTunahitaji mtu calibre ya tuchel, guardiola na klopp. Hawa wengine tunapotezeana muda kugombea top 4 tu.
Hata Mimi naona ni kamaliWadau naona uvumi kuhusu Pochettino umeongezeka sana.
Binafsi simkubali kama mwalimu wa United.
Mkuu mm nina hiyo issue ya kukutana na watu kwenye eneo jipya na sehemu tofaut tena Kwa mara ya Kwanza ila nikawa kila nikikumbuka baada ya kuachana nao nahisi kama nishawahi kuonana nao mahala flani na kila nikiuliza huwa wanakataa kwamba hatujawahi onana. Nakuwa kama mtu ambae Hilo eneo nilishawahi kuwepo zaman ivi .....so ni kama nakua na memorize tu.(marudio) maana nimekua nakosea watu kila.Mkuu maisha ya binadamu huwa yapo kama yamepangwa hivi kwa kuzingatia matukio fulani ambayo mtu unaona kabisa kama yamewekwa au yanajirudia....
Ile final ya man u na bayern ile sio coincidence ni ilipangwa man u wawe mabingwa kwa njia yoyote....
Ushawahi kwenda sehemu na kuhisi ushawahi fika pale ila kiukweli hujawahi fika....
Au ushawahi kutana na mtu mkaongea ila ghafla ukakumbuka maongezi hayo ushawahi yafanya na unajua hadi mhusika atajibu nini na kweli anajibu vilevile....



@Darmian mtatafutana sana mwaka huuBailey was furious he was passed for a recovering Maguire View attachment 2018808




Kuna wengine wanasema tuliishawahi kuishi haya haya maisha hapo zamani hivyo tunayarudia.....Mkuu mm nina hiyo issue ya kukutana na watu kwenye eneo jipya na sehemu tofaut tena Kwa mara ya Kwanza ila nikawa kila nikikumbuka baada ya kuachana nao nahisi kama nishawahi kuonana nao mahala flani na kila nikiuliza huwa wanakataa kwamba hatujawahi onana. Nakuwa kama mtu ambae Hilo eneo nilishawahi kuwepo zaman ivi .....so ni kama nakua na memorize tu.(marudio) maana nimekua nakosea watu kila.
Hii Mzee ni nini huwa ?? msaada tujifunze kitu hapa ....
Mshana Jr Rakim
Tucheke tu..@Darmian mtatafutana sana mwaka huu![]()
Nyumbu kama nyumbuTucheke tu..
Yah hiyo kitu ya mwisho nafikir naweza kuungana naww.......Kuna wengine wanasema tuliishawahi kuishi haya haya maisha hapo zamani hivyo tunayarudia.....
Ila mimi naamini kuna muda akili huwa inaenda mbele ya wakati na kurudi ndio hali kama hiyo inatokea kwamaana akili inakuwq imeishatangulia na kuwa na taarifa fulani kabla mwili haujafanya.
Ofcourse hawezi kwa sababu hata kwenye club alikuwa mchezaji wa kawaida tu.Garry Neville anasema hatokaa arudie tena mambo za ukocha![]()
Tena sanaTuache masikhara, Ferguson ni tatizo kubwa sana pale Manchester.
Wote uchafu ni ole tu ndio mwamba wengine wapiga ngengaGarry Neville anasema hatokaa arudie tena mambo za ukocha![]()